Kimahusiano, naona kama miaka ijayo tutakuja kutengeneza kizazi cha ajabu sana

Ndoa kwa sheria za Wazungu hazitafanikiwa, yaani mafahari wawili wakae zizi moja. Baba na mama wote vichwa hakuna ubavu!! Ndoa ikivunjika mwanamke aachiwe mali na alipwe kila mwezi mwanaume akatafute nyumba ya kuishi amuachie mwanamke nyumba na watoto!! Na mke anytime anagawa uroda kwa mwenye hela! Vijana kuoa ni ngumu kwa sheria hizi labda tutumie sheria za Mwenyezi Mungu ktk Tourati na Quran. Sheria za mmarekani zinavunja taasisi ya ndoa
 
Dini hakuna ilichoacha, imeonesha nafasi ya kila mtu kwenye ndoa na ndoa zilikua zjnadumu hakuna malalamiko, ila baada ya shetani kuingilia (usawa wa kijinsia) ndo mabalaa yameanza.
 
Sheria za wazungu ni kandamizi sana, zinaipasua ndoa kabla hata haijaanza kuzaa matunda
 
Wanawake wasipojitathmini na kubadilika watajikuta wakitoweka katika hii sayari kama walivyotoweka dinosaurs.
Mwanamke ameumbwa kwa namna ya kumilikiwa na hivyo ili amilikiwe ni lazima ajisalimishe kwa kutii. Sasa wamejiondoa katika hiyo asili na wanataka wao ndio wawe vichwa. Ok it's fine kueni mtakavyo lakini ndio mmepoteza ule mvuto uliokuwepo kati yenu na jinsia tofauti.
Mwanamke anaemmiliki mme hata wanapokutana kingono mwanamume haoni tofauti ya kulala nae na kujichua.
Kama nguvu ya mvuto ya kingono iliyopo kati ya hizi jinsia mbili ikiondoka kitakachoshuhudiwa mbeleni ni jinsia yenye nguvu(misuli) kuiteketeza hiyo legelege
Ndio maana nimesema wanawake watatoweka kama walivyotoweka dinosaur kwa kushindwa kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
 
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI

KATAA NDOA
NDOA NI WIZI


AFYA YAKO YA AKILI NI BORA KULIKO NDOA


Mkuu nakuelewa sana. Lakini nadhani kuna pengo (gap ) katika hii kampeni. Tusipooa huku tukiendelea kuhonga haina maana. Nadhani kampeni ianze upya iwe

"KATAA NDOA, KATAA KUHONGA, IMARISHA AFYA YA AKILI NA UCHUMI WAKO BINAFSI"

Technique ni kumrubuni kuwa utampa hela halafu ukishakula tunda hakuna ujinga wa kumpa hela.

Mkuu kampeni hii ikitiliwa mkazo wanawake wengi lazima akili iwakae Sawa, trust me.


Wanangu eeh HAKUNA KUOA, HAKUNA KUHONGA, KULA BURE SEPA
 
Yeah
 
Nenda temeke mahakama ya maswala ya kifamilia na mirathi kaangalie hzo case then ukishapewa data kamili njoo ufute comment yako
 
Look who's giving advice about marriage [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi wanawake HAWAJALI na wanaume wameingia kwenye mode ya POTELEA MBALI.

Hamna kazi ngumu kama kupata partner wa maisha yako.
 

Maisha bila ndoa hayawezekani. Vijana fungeni ndoa yani pingu za maisha muanzishe familia.​

 
Mkuu unajarbu kufikiria future.
Hebu jarbu kukumbuka tulikotoka!!1
maybe utapata picha halisi ya yajayo!

you low-key blame kataa ndoa movement for gay shit and family issues.

i don't believe in white GOD but i do believe in historical events .

Unakumbuka back in days king Solomon alikuwa na wake 700,
How many did King David have?
inamaana hakukuwa na wanaume wengine?
NO!

my point of view is
back in days only HIGH VALUE MEN WERE ALLOWED TO HAVE WIVES AND TO REPRODUCE.
Only strong men were allowed to reproduce.

Mimi naamini hiyo future itakuwa kwa strong men only!
haya yote na hizi mvt zote kuna watu wanazi orchestra kupitia social engenering .

kwaiyo mkuu wewe wala usihofie kuhusu sisi wakataa ndoa. we just doin fine. and we will be doing great.
 
Umnunue mtu, umhudumie vizuri tu then huyohuyo mtu atake kukuharibia maisha. Upumbavu wa ndoa naukataa.
 
Ni huku tu mtandaon uraian watu wanaoa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…