Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasema, Na inakuwaje uite vyombo vya usalama ni wasiojulikana?Explain,it means wasiojulika ni vyombo vya usalama?
Mbona hata huko wapo wengi tu!Wasiojulikana wameanza tena. Marekani inawazoom lakini.
Mtu anajulikana kituo Cha kazi anachofanyia kazi wanaanzaje kumkamata Kama jambazi kwanini wasitumie utaratibuHivi huu utaratibu wa kukamatana bila kuambiwa kosa, kupitia serikali ya mtaa, bila ya taarifa ya kuitwa polisi au mahakamani ni utaratibu wa askari wa Tanzania pekee? Sheria inasemaje kwani wakikuhitaji kwenda polisi either kwa mahojiano au vyovyote vile?
Hii nchi inamaajabu mengi Sana, msomi na mjinga huwezi kuwatofautisha, inawezekanaje mtu tunayemuona angalau alimaliza darasa la saba anaandika tarifa ya watu kutekwa na wasiojulikana
Halafu hiyohuyo ndani ya tarifa zake hizo anahitimisha kuwa watu waliokuwa wametekwa na wasiojulikana Wapo kituoni na wameachiwa, hatuoni kwamba huo ni uduni wa mtoa tarifa?
Duh...!.
P