Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

View attachment 1761867

UkiZoom kwenye hiyo Picha utaona madhara ya Tufani kwenye maeneo ya Pwani Tufani hiyo ilikuwa inaitwa Haiyaan ilipiga Philipines na kuuwa watu Maelfu

View attachment 1761868
Kimbunga kiko wapi mkuu,maana ulishabikia sana mpaka ukatuletea picha za some hurricane battered places.Una roho mbaya sana aisee,dah!Yaani ninyi watu hamuitakii mema nchi yetu kabisa,ila Mungu tunayemuamini ataendelea kututetea tu.Sijui nchi yetu ikiharibika wewe utaishi wapi.
 
Ilikuwa ni kutahadharishana au pia ni kosa
Mkuu
hatu-tahadharishi hivyo.Hivi unajua subliminal message iliyokuwa sent kwa watu as a result of your message:this is how you will be battered by cyclone Jobo!Sasa nikuambie nikuambie nini, this is how the devil works:kuleta hofu na kukatisha watu tamaa and without hope people perish.Hivi vitu viwili vinaleta pia magonjwa sana,and that is what the devil wants.Sasa wewe ni mtumishi wa Shetani?Kama.ndio tuambiane!
 
 

Attachments

  • VID-20210425-WA0031.mp4
    11.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…