Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

Kuna tofauti ya kukimbia na kujihami.

Vinginevyo unapendekeza kufunga mahospitali kabisa mkuu.

Kwa mtaji huo Mfalme msukuma yuko na wewe bega kwa bega.
Hahahaha
Ndugu Yangu haujanitendea haki kabisa yaani Mimi ni mtaji marehemu POMBE?

Haya banaaaa!!
 
Sikujua kuwa kumbe hata Wewe ni 'Empty Set' kiasi hiki. Kitaalam ( hasa Kijiografia ) kwa Mujibu wake Ndugu Samuel Mbuya wa TMA kasema kwamba hata kama Kimbunga kitakuwa Pwani ya nchi ila huwa kinapeleka madhara maeneo mengine ya nchi na Mikoa ambayo huwa ni 'Mhanga' mara nyingi huwa ni ya Mbeya, Rukwa na Iringa.

Na hii ni kutokana na Mgandamizo mkubwa kutokea Usawa wa Bahari kuelekea katika Misitu ya Kongo ( Congo ) ambayo Kijiografia pia huwa ni chanzo cha kutokea kwa Mvua Kubwa katika nchi jirani nae.
Yaani sikujua kama wewe unakariri kiasi hiki!
 
TMA
1619255501-kimbunga%20jobo.jpg
 
Sasa kama huna Akili utaachaje Kushangaa? Yaani Jiografia ndogo tu hii inawashinda mtaweza Kujadili mambo mengine makubwa? Nikiwadharau hapa msiwe mnanuna.
Akili umepata wapi wewe zaidi ya kukariri!?
 
Hahahaha
Ndugu Yangu haujanitendea haki kabisa yaani Mimi ni mtaji marehemu POMBE?

Haya banaaaa!!

Mkuu si nia yangu kutokukutendea haki. Wewe ni ndugu yangu katika nchi.

Kuna janga lasemekana laja. Si Mimi, wewe, TMA wala nani hapa nchini mwenye kulijua wala kuwa na cha zaidi ya kile tunachokipata sote tokea CNN, BBC, AlJazeera au mitandaoni.

Ashukuriwe beberu kwani bila yeye hili zahama lingetukuta wenginewe katikati ya michiriku tukishindana kukata mauno.

Anayetutahadharisha, kwake asingelichukulia poa kama tunavyofanya sisi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Jana baada ya mizunguko ya hapa na pale, niliingia mtaani kupiga story na kucheza draft.
Nilipo ingizia story za Mr JOBO, ndipo nilipokutana na hayo majibu.
Jamaa mmoja akaenda mbali na kusema....Mabeberu wanaweza test nuclear bomb kwenye maji ya TZ ili kutengeneza mawimbi, then wanafunga feni kama milioni hivi na kuzielekeza pwani ya TZ na kusababisha upepo mkali.
🤣🤣🤣🤣
 
Picha hizi ni uncalled for,za nini?Hivi huoni kwamba unawaletea watu hofu?Ninyi mnatumiwa na Shetani.Hofu ni mbaya sana,inaleta Diabetes,HBP,Depression,Ulcers,Cancer and many other ailments.Please please stop it.
Lakini Hiyo hofu ikimfanya mtu akachukua familia yake akahamia Moro kwa siku mbili badala ya kusubiri kufa utakuwa imemsaidia.

Andiko linasema " huenda kwa mwoga kicheko, kwa shujaa kilio".
 
Punguza hofu, hautakuwa wa kwanza wala wa mwisho kufariki. Hofu ya nini sasa?
 
Mabibi na mabwana kwa bahati mbaya tumeendekeza sana kuchukulia poa hata palipo na hatari kubwa za wazi.

Kuitana majina ya ajabu ajabu uzalendo uchwara ukihusishwa. Misimiati imekuwa ikiasisiwa upya kama kuleteana taharuki, hofu nk. Vimekuwa vikihusishwa vita vikiwamo vya kiuchumi.

Haya yamekuwa si mageni katika jamii hii ambayo katika hali ya kushangaza hukereka mno kila ukweli unaposemwa bayana.

Koleo na likaitwe kwa jina lake, wajameni.

Ukweli mchungu maisha ni matamu mno kuliko kitu chochote. Hata Yesu (Nabii Issa) aliomba ikiwezekana kikombe kile kimuepuke.

Palikuwa na haja watu kuondoka au kuondolewa kabisa tokea sehemu zilizo hatarishi zaidi kuhusiana na kimbunga hiki. Hivi tuko kimya tuna chapa kazi!

Hiiiiii bagosha!

Haina tofauti na tulivyokuwa tunahamasishana kuendelea kuchapa kazi ili tuje kuwauzia chakula waliokuwa wako lockdown kama vile sisi ndiyo wenye hati miliki ya maisha. Tumeendelea hivyo hadi yakatuka na bado hatuwezi kujifunza.

Kimbunga kinakuja tusisubiri kumsingizia Mungu.

Kwingine majengo thabiti zaidi ya vyuo, shule na hata taasisi
hutumika kuwahami watu kwenye dharura kama hizi. Sisi kwetu serikali ni kukusanya kodi tu zikiwamo hizi za kina Zungu?

Hata kusogea Morogoro au Dodoma ilikuwa si haba katika jitihada za kupigania au kuwahami watu.

Tusimwachie Mungu tu. Jitihada zetu kuishi zapaswa kufanywa.

Palipo uwezekano watu washauriwe na hata wasaidiwe kuondoka kwenye makazi yao kupisha kimbunga hiki.
Wazo zuri Ila umeharibu ulipochomekea maswala ya lockdown.
 
Wazo zuri Ila umeharibu ulipochomekea maswala ya lockdown.

Wasiwasi wako tu.

Ukweli huwa mchungu kuliko shubiri.

Laiti nwendazake angesikiliza tu, mbona bashiri angekuwa KMK na mipango yetu Chatto ingekuwa inakwenda bam bam.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Wanasindwa na wenye na Bar at least wanawaandaa wateja wao

View attachment 1762051
Mhh, hatari! Wanaalikwa kwenye baa za pombe kuona/ kusherehekea Kimbunga Jobo! Wanaweza wakashindwa kurudi nyumbani. Siku hiyo ni ya ku stay at home aka lockdown ukifuatilia habari mpya (updates) za huyo Jobo. Leo kapunguza kidogo kasi yake, bado hatujui kesho atakuwaje.
 
Cha muhimu kesho wakazi wa Dar es Salaamu na Zanzibar kila mmoja aweke nyumbani chakula cha kutosha angalao wiki moja na mkaa/ gesi ya kupikia chakula hicho. Mambo ya futari na daku yanaweza kuahirishwa janga likitokea ninadhani. Au dini ya Kiislamu inaelekeza nini litokeapo janga kama hili wakati wa mfungo wa ramadhani?
Kwa utukufu wa mwezi huu wa Ramadhani, huyo Jobo hatakaa akanyage Tz.
 
Back
Top Bottom