Undercover_Bot
JF-Expert Member
- May 8, 2018
- 416
- 414
Kuleta ujinga ujinga kwenye mambo ya maana ndio kawaida yenu watu wa namna hiiPongezi ziende kwa samia suluhu na serikali awamu ya sita kwa kufanikisha hili jambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuleta ujinga ujinga kwenye mambo ya maana ndio kawaida yenu watu wa namna hiiPongezi ziende kwa samia suluhu na serikali awamu ya sita kwa kufanikisha hili jambo.
Mwanadamu yupi anayeweza kukimbia Kifo?
Sawa profesa lipumba vuuu.Kuleta ujinga ujinga kwenye mambo ya maana ndio kawaida yenu watu wa namna hii
Kwa majibu yako tu hauna uwezo wa kujenga hoja kwenye mambo muhimu you have to learn from your father mistakeSawa profesa lipumba vuuu.
Ogopa sana mtu mweusi.Kayafa alidharau Corona hivihivi,watu wake wa karibu wakaanza kupukutika bado akaendelea kuidharau na hatimae nae akafa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usianike miguo yako nje,itaenda na maji,ohoo!!
Ila huku nilipo hakiwezi fika...
Lucky you.Ila huku nilipo hakiwezi fika...
Thanks dear but the only precaution that i'll take is to ensure my cell phone is charged. 😉😉
Mwaisela na Kibasila zote ni Muhimbili.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]una hamu ya kupigwa BAN na mimiKwa jinsi kinavyoelezewa kuwa Kimbunga Jobo kitakuja kuna Uwezekano kikaleta MAAFA makubwa mno ya Vifo, Uharibifu na mengineyo hivyo basi Serikali ili Kurejesha hali ya Kawaida kutokana na Uharibifu huo itabidi iachane na Mpango wa Kuwaongeza Mishahara Watumishi wake kwa mwaka labda mpaka mwakani au hata baada ya 2025.
Naambiwa hapa kuwa JOBO ameamua kukata kona na kurudi alipotoka.Mabibi na mabwana kwa bahati mbaya tumeendekeza sana kuchukulia poa hata palipo na hatari kubwa za wazi.
Kuitana majina ya ajabu ajabu uzalendo uchwara ukihusishwa. Misimiati imekuwa ikiasisiwa upya kama kuleteana taharuki, hofu nk. Hata yamekuwa si mageni katika jamii hii ambayo katika hali ya kushangaa hukereka mno kila ukweli unaposemwa bayana.
Koleo na likaitwe kwa jina lake, wajameni.
Ukweli mchungu maisha ni matamu mno kuliko kitu chochote. Hata Yesu (Nabii Issa) aliomba ikiwezekana kikombe kile kimuepuke.
Palikuwa na haja watu kuondoka au kuondolewa kabisa tokea sehemu zilizo hatarishi zaidi kuhusiana na kimbunga hiki. Hivi tuko kimya tuna chapa kazi!
Hiiiiii bagosha!
Haina tofauti na tulivyokuwa tunahamasishana kuendelea kuchapa kazi ili tuje kuwauzia chakula waliokuwa wako lockdown kama vile sisi ndiyo wenye hati miliki ya maisha. Tumeendelea hivyo hadi yakatuka na bado hatuwezi kujifunza.
Kimbunga kinakuja tusisubiri kumsingizia Mungu.
Kwingine majengo thabiti zaidi ya vyuo, shule na hata taasisi
hutumika kuwahami watu kwenye dharura kama hizi. Sisi kwetu serikali ni kukusanya kodi tu zikiwamo hizi za kina Zungu?
Hata kusogea Morogoro au Dodoma ilikuwa si haba katika jitihada za kupigania au kuwahami watu.
Tusimwachie Mungu tu. Jitihada zetu kuishi zapaswa kufanywa.
Palipo uwezekano watu washauriwe na hata wasaidiwe kuondoka kwenye makazi yao kupisha kimbunga hiki.
Naambiwa hapa kuwa JOBO ameamua kukata kona na kurudi alipotoka.
Inasemekana JOBO Alikuja kuitest TZ, so ameona TZ hapaingiliki na ameamua kusepa zake.