DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Yes, tatizo liko hapo. Kuingia bila kufuata utaratibu.
Nadhani serikali yao inabidi jushughulikia hili jambo in peaceful way .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, tatizo liko hapo. Kuingia bila kufuata utaratibu.
Upo sahihiHawa nyani ilipaswa waendelee kuwa chini ya utawala wa makaburu
Kwani huyo Mtz wa Johanesburg kawakosea nini?Kawakosea nini huyo Msouth wa Mkwajuni?
Nadhani serikali yao inabidi jushughulikia hili jambo in peaceful way .
"The most graviest mistake that cannot be pardoned is to allow the Black men to rule the country."Hawa nyani ilipaswa waendelee kuwa chini ya utawala wa makaburu
Safi sanaNchini Afrika Kusini, mapema leo hii Polisi na Mamlaka zimefanya msako katika Kituo cha maduka cha "China Mall" jijini Johannesburg, Gauteng, ili kuwatafuta watu ambao huenda hawana vibali vya kisheria au wanaishi nchini kinyume cha sheria.
Msako huu uliofanywa na mamlaka za Afrika Kusini katika China Mall, jijini Johannesburg-Gauteng, umefichua takwimu za kutisha, ambapo karibu asilimia 90 ya wafanyakazi wamekutwa wakiwa ni wageni wasio na vibali vya kisheria.
Inasemekana kuwa wakati wa msako huo, wafanyakazi wengi walikimbia eneo hilo ili kuepuka kukamatwa, jambo ambalo linadhihirisha ukubwa wa tatizo la wahamiaji haramu nchini Afrika Kusini.
Video: Kituo cha China Mall cha Johannesburg kimevamiwa na Polisi na Mamlaka.
Instagram: @maphepha_ndaba
View attachment 3142491
Mtanzania akichezea kichapo kutoka kwa wasauzi, mwisho wa video Watanzania wakimwambia mwenzao akimbie
Instagram: @Geoff_lea
View attachment 3142492
Ukweli Mtupu!"The most graviest mistake that cannot be pardoned is to allow the Black men to rule the country."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Wewe si ndio hua unapigania demokrasia na haki humu kila kukicha?Safi sana
WaAfrika Kusini weusi ni wabaguzi na hata Waarabu nao pia ni Wabaguzi.Wabaguzi ni Waarabu, hao itakuwa Waarabu, kwani huko hakuna Waarabu?
Wewe tu siyo mbaguzi, au siyo?WaAfrika Kusini weusi ni wabaguzi na hata Waarabu nao pia ni Wabaguzi.
Aidha, hata Wahindi nao pia ni wabaguzi.
Umemkamata vibaya sanaWewe si ndio hua unapigania demokrasia na haki humu kila kukicha?
Leo hii unasifia watu kujichukulia sheria mkononi kwa kumpiga mbongo mwenzako kama mwizi?
What a shame.
Mnawalaumu Bure, hivi kama Watanzania mngejisikiaje kama mamilioni ya wakenya, wasudan, wasomali na wakongo wangekuwa wanamwagika tu nchini bila vibali Wala utaratibu maalum "kujitafutia"; yaani imagine kama nchi muwe na matatizo yenu afu eti mubebe na ya wengineWatu weusi wa south Africa bado wana ile mentality kuwa wageni wanakuja south Africa kuchukua Ajira zao .
Zamani maiaka 1900s kuja early 2000s kwenda south ilikuwa ni ndoto ya vijana wengi hustler.
Sikufurahishwa mbongo kudundwa, ila nimefurahishwa na Wasouth kuhakikisha wahamiaji haramu wanadhibitiwa.Wewe si ndio hua unapigania demokrasia na haki humu kila kukicha?
Leo hii unasifia watu kujichukulia sheria mkononi kwa kumpiga mbongo mwenzako kama mwizi?
What a shame.