Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Ke yeyote kamwe hawezi kuzaa na Mtu asiyemkubali la sivyo abakwe au achengwe na tarehe isipokuwa kucheat hutegemeana na mazingira japo yote ni makosa halali ya talaka.Sasa mbona unasema Mwanamke aki-cheat unaweza msamehe?
Ila akizaa huwezi. Logic ya jambo hilo ni ipi?
Hata daktari mwenyewe hawezi kukubali kupotezewa mudaAcha kujifariji wewe muasibu, Pima DNA hao ni wanangu siku nikija kuwadai ndio utajinyonga.
Hivi unajua maana ya ndoa kiserikali?Unamlaumu vipi mwanamke kwa watoto aliozaa kabla hujamuoa. Mwanamke kabla hajaolewa anakuwaga na alternative
Unamlaumu vipi mwanamke kwa watoto aliozaa kabla hujamuoa. Mwanamke kabla hajaolewa anakuwaga na alternative
Usioppose fact kwa hisia Mkuu, oppose fact kwa fact tupo katika kujifunza Ili kuimarishana kwa kusudi la kuishi MAISHA ambayo yatakua hayana hatia mbele za MUNGUDah unapindisha sana maana ya maandiko aisee hebu rudi ukae chini usome vizuri maandiko.
Wewe unadhani kuwa wayahudi kipindi cha yesu walikuwa wakiishi kwa mahusiano ya boyfriend na girlfriend kama ilivyo sasa?
JITATHMINI sana na acha kupotosha maandiko ili kufaidisha matamanio ya nafsi yako.
MarkoDah unapindisha sana maana ya maandiko aisee hebu rudi ukae chini usome vizuri maandiko.
Wewe unadhani kuwa wayahudi kipindi cha yesu walikuwa wakiishi kwa mahusiano ya boyfriend na girlfriend kama ilivyo sasa?
JITATHMINI sana na acha kupotosha maandiko ili kufaidisha matamanio ya nafsi yako.
Hili nalijuwa sana kwani hata mimi mwenyewe si mwaminifu kwa hiliSwala la kuchwapwa usiwe na wasiwasi hakuna ndoa ya Miaka kumi ambayo hawajakuotea
Lazima wamemla ila hawawag watu serious wengi waliosoma nae au vijana wanaomuuzia nguo huwa Wanapata mwanya wa kuwasifu na wengi mabishoo na ma hb.so huwa anaiotea pia kuna matajiri na wachungaji huwa wanapitia kwa rafiki yake wa karibu au kama ana dada mcharuko .Hili nalijuwa sana kwani hata mimi mwenyewe si mwaminifu kwa hili