Kimeumana, nimemuweza huyu binti

Ungeingizwa cha kike.
 
Tanzania 🇹🇿 ya asali na maziwa

On a serious note, mkuu bado hujajipata vyema, kanauli tu umeona status tayari ukanseli muamala ? Why usijiweke vzr kiuchumi kwanza ndio udili na hawa viumbe ? Starehe gharama
Akisubiri hadi uchumi ukae sawa atawalamba lini?
 
Sasa kanunue kachupa kako kadogo ka mafuta ya mnara, uchukue sheria mkononi mpaka mashine itoke sugu.

Uzuri wa sheria mkononi unaweza kumkula hata Beyonce kinadharia.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumpongeze lakini kwa kuanzisha thread.
Yaani hii ni gahawa sio chai maana kitaalamu ukiunganisha hayo matukio unagundua ni uongo sana.

Katuma hajatokea
Mara kajipost status na shoga ake wanakunywa wine
Wimbo wa siji wa Zuchu kwenye status
Mwisho ame reverse muamala
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…