Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Ila umaskini mbaya sana kuna bidada nilimnunulia bia 10 nikaona haeleweki ... Nikazichukua 8 zilizobaki nikabadilisha na takeaway nikaenda kumpa mke wangu.
Mzee Uwanji. Mshirikina namba 1 ๐๐๐Wee mwenyeji kabisa๐,. Sanga yupi? Yule anaendesha kigari flani hivi kidunchuu au yupi๐
Mimi huko ni Home kabisa soon ntarudiWee mwenyeji kabisa๐,. Sanga yupi? Yule anaendesha kigari flani hivi kidunchuu au yupi๐
Kuna "wanaovuta"Wanafunzi si wameshafungua shulee.
Karibu sana aisee,. Sie ndio mitaa yetu hiyo mkuuMimi huko ni Home kabisa soon ntarudi
Dah๐๐, Na mwenzie Fundi Ally wa Pale kwa Mzee NjauMzee Uwanji. Mshirikina namba 1 ๐๐๐
Alafu ulisoma Matogoro?Karibu sana aisee,. Sie ndio mitaa yetu hiyo mkuu
Ile bar yake pale Kadogoo bado ipo?Dah๐๐, Na mwenzie Fundi Ally wa Pale kwa Mzee Njau
Ee ndiwoo,. Weee usiniambie unawajua watu wa kule๐๐๐,. Nawafahamu woteee japo sikusoma mda mrefu nlihamaAlafu ulisoma Matogoro?
Nadhani sijui imefungwa maana hata siskii watu wakiizungumzia kama zamaniIle bar yake pale Kadogoo bado ipo?
Eeh nitakupa mkanda wake aiseee
๐คฃ๐คฃ๐คฃEe ndiwoo,. Weee usiniambie unawajua watu wa kule๐๐๐,. Nawafahamu woteee japo sikusoma mda mrefu nlihama
Walimu unawajua nani na nani?
Wa kumtoa kafara hayupo tena ๐๐๐Nadhani sijui imefungwa maana hata siskii watu wakiizungumzia kama zamani
Haaaa mie nikajua secondary๐๐,. Shule ya msingiii Maanake hapo si utakuwa ulisoma na akina Uncle labda๐๐,.๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Primary nimemaliza 2001 wewe
Ila nimehisi tu umesoma Matogoro si unajua sie watu wa ku-teleport hatushindwi kitu
Kwanza usikute hata kameshakufa ngoja nitaulizia๐๐Wa kumtoa kafara hayupo tena ๐๐๐
Mimi Sec nimesoma Box 2 headmaster alikuwa anaitwa KusilaweHaaaa mie nikajua secondary๐๐,. Shule ya msingiii Maanake hapo si utakuwa ulisoma na akina Uncle labda๐๐,.
Em ngoja kwanza naskiaga majina kama Mwanjisi, mhule, mwanaapa,. Rwekiti , Mkamba vipi na wewe walikufundisha?,๐
Kama unawajua hao baaasi ๐คญ