witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Dina Marios amepata bwanaIlikuwa kitchen party gala ya Dina Marios
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dina Marios amepata bwanaIlikuwa kitchen party gala ya Dina Marios
Ova ma dedi bodeMr Lawyer
Huyo jamaa kama nati zimelegeaAhaaa
Huhuuuu nikajua sherehe yake maana keki ilivyopelekwa kwa mbwembwee
[emoji16][emoji16][emoji23]Zombi alitokea Kama katumwa vile
Henry KilewoNani huyo?!
Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute[emoji23][emoji23][emoji23] sidhani wanaume hawapendi mapicha picha ka sisi wanawake, wangu nilimpiga kisiri yeye hajui kuwa ninayo
[emoji23][emoji23][emoji23]ni kweli wanaume wengi hampendi picha hata kaka zangu ni hawapendi hizo mambo.Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute
Sio kitchen party ya Dina...ni event Dina hua anaiandaa kila mwaka ya wanawake anaiita kitchen Party GalaDina marios amepata bwana
Nimeikuta instagram kwenye page ya politikstz
Kwa maelezo yake anadai Resty kajiwish birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto,mapenzi ni bambam alafu akajisahau akakoment kutumia account hiyohiyo akisema asante mume wangu badala ya kutumia account yenye jina lake!Yani in short kajiwish mwenyewe na akajijibu mwenyewe!
View attachment 1962386
Kuna huyu zamaradi pia....jamaniWanaofanya show off mitandaoni mahusiano Yao huwa mabovu na resty hampi pumzi mumewe Ili asinyakuliwe na mijimama ya mjini
[emoji23][emoji23][emoji23] sidhani wanaume hawapendi mapicha picha ka sisi wanawake, wangu nilimpiga kisiri yeye hajui kuwa ninayo
Wanaume walivyo malaya weee ni halali wasipende
Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute
Anaogopa matukio dabodabo😂😂😂Wanaofanya show off mitandaoni mahusiano Yao huwa mabovu na resty hampi pumzi mumewe Ili asinyakuliwe na mijimama ya mjini
😂😂😂😀Mwamba amekaa Kama jokeri la kwenye karata full Zombi