Kimeumana: Resty Bura kajitakia heri ya birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto

Kimeumana: Resty Bura kajitakia heri ya birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto

[emoji23][emoji23][emoji23] sidhani wanaume hawapendi mapicha picha ka sisi wanawake, wangu nilimpiga kisiri yeye hajui kuwa ninayo
Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute
 
Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute
[emoji23][emoji23][emoji23]ni kweli wanaume wengi hampendi picha hata kaka zangu ni hawapendi hizo mambo.
 
Nimeikuta instagram kwenye page ya politikstz

Kwa maelezo yake anadai Resty kajiwish birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto,mapenzi ni bambam alafu akajisahau akakoment kutumia account hiyohiyo akisema asante mume wangu badala ya kutumia account yenye jina lake!Yani in short kajiwish mwenyewe na akajijibu mwenyewe!

View attachment 1962386


Resty ndio nani?
 
Yani nimeangalia hyo video nimejikuta namuonea huruma huyo mwanaume daaah. Halafu watu waka mutee wanashangaa tuu
 
Kwa kweli binamu. Wengine hawataki kupostiwa wanajua utawaharibia makoloni yao. Nakumbuka kuna rafiki yangu alimposti babe kwenye status; weee wacha jamaa awake eti ooh "nyumbani kwetu wakijua itakuwaje, ni familia ya dini sana". Best akamwambia huko home kwenu hakuna anayenijua wala kuwa na namba yangu. Basi muda sio mrefu best alifanikiwa kuwajua wake wenzie wengi tu teh
Wanaume walivyo malaya weee ni halali wasipende
 
Hata kukupost mara moja kwa mwaka hutaki? Mimi nisingefuta hiyo picha jamani. Kuna muda huba linakukolea, unatamani umtambulishe mwenzio kwa dunia nzima[emoji38][emoji38]
Picha zinatukera sana wanaume,halafu hizo za Siri ndo balaa,Kuna siku tupo location tunakula misosi mara amenirusha mtandaoni ,aisee kuona tu nilimpigia simu fasta afute
 
Wanaofanya show off mitandaoni mahusiano Yao huwa mabovu na resty hampi pumzi mumewe Ili asinyakuliwe na mijimama ya mjini
Anaogopa matukio dabodabo😂😂😂
 
Back
Top Bottom