Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Oooh basi sawaSina mungu ndugu. Kama haujuwi, it already happened and wiped out a great deal of life on earth. Nadhani mungu wako alikuwa hajazaliwa, maana kwa mujibu wenu umri wa dunia hauzidi miaka elfu10!
Karibu, ila uache ndoto za alinacha. Dini zinawalisha mizizi ya kuamini vitu visivyokuwepo, acha kuishi maisha ya uwongo na uoga, acha akili yako huru ifanye kazi.Oooh basi sawa
mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu,,Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!
Dunia imepitia makubwa mengi, kuzidi hilo lakini bado inadunda. Hilo jiwe ni dogo sana kuweza kuifuta dunia, litauwa viumbe wengi tu lakini haliwezi kuisambaratisha dunia wala kuitoa kwenye mhimili wake! Na its not a guarantee kwamba jiwe hilo litapiga, ila wamekokotoa kuwa litapita katikati ya dunia na mwezi, sehem yenye gravity kubwa itayosababisha litoke nje ya orbit yake na huenda likailenga dunia.Oooh basi sawa
Your source is flawed. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuamini hadithi ziloandikwa na watu walioamini kuwa dunia ina umbo bapa. Ukitaka kuwa na fikra huru toka nje ya boksi, ukijifungia kwenye biblia ukataka rejea yako iwe mistari ya biblia pekee utakuwa mpompompo.******** amesema moyoni mwake hakuna Mungu,,
by bible
hakitakukuta mheshimiwa by then kitakutana na huo mskeleton wako tu !Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
hakitakukuta mheshimiwa by then kitakutana na huo mskeleton wako tu !Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
Sina shaka na maelezo yako nayakubali tumetofautiana kwenye issue ya uwepo wa Mungu na jinsi anavyosave mambo mengi katika dunia hii tu na nisingependa kuendelea kuyabishania..nimekusomaDunia imepitia makubwa mengi, kuzidi hilo lakini bado inadunda. Hilo jiwe ni dogo sana kuweza kuifuta dunia, litauwa viumbe wengi tu lakini haliwezi kuisambaratisha dunia wala kuitoa kwenye mhimili wake! Na its not a guarantee kwamba jiwe hilo litapiga, ila wamekokotoa kuwa litapita katikati ya dunia na mwezi, sehem yenye gravity kubwa itayosababisha litoke nje ya orbit yake na huenda likailenga dunia.
Kuzembesha akili nao ni ugonjwa, badala ya kutumia akili kufikiri na kutafakari kutafuta shina wewe unakuwa mvivu na kuishia kusema mungu! Binadamu wote wangeishi hivyo kusingepatikana hata dawa ya malaria, hakuna mtu angeanza kuchunguza mpaka kumgundua mdudu wa malaria, kugundua analetwa na nini wala kugundua dawa inayowezwa kuingizwa kwenye damu na kuuwa mdudu huyo tu bila kuathiri chembe za uhai!Ndio tena100%.
Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya
Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.
Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.
Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
Mh. Wewe kuwa makini na kauli zakoTangu lini mtoto wa Kenge akaweza kuandika?
Akili unazo lakini hufikiri
Mna safari ndefu ya kujitambuaMh. Wewe kuwa makini na kauli zako
Huu sio ushahidi bali umeleta hekaya!Ndio tena100%.
Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya
Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.
Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.
Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
Kama yupo kweli ni haki tuulize upumbavu mwingi uliosababishwa na yeyeUkiona mada kama hii inahamia kwa mungu jua kabisa viumbe wanaogopa.
Mkuu watu kama hawa ndio changamoto kubwa tuliyobaki nayo kwa sasa.Kuzembesha akili nao ni ugonjwa, badala ya kutumia akili kufikiri na kutafakari kutafuta shina wewe unakuwa mvivu na kuishia kusema mungu! Binadamu wote wangeishi hivyo kusingepatikana hata dawa ya malaria, hakuna mtu angeanza kuchunguza mpaka kumgundua mdudu wa malaria, kugundua analetwa na nini wala kugundua dawa inayowezwa kuingizwa kwenye damu na kuuwa mdudu huyo tu bila kuathiri chembe za uhai!
Dada acha uchoyo,unaposema huwezi kubishania ni kama unatunyima sisi "madini" uliyonayo juu ya jinsi wewe unayomjua Mungu, na hapa sidhani kama mnabishana ila mi naona ni kama mnatuelimisha na sisi ambao tunafuatilia mjadala wenu. Kama anastahili kuitwa Mungu kwanini ukose hoja za kujibu ??Sina shaka na maelezo yako nayakubali tumetofautiana kwenye issue ya uwepo wa Mungu na jinsi anavyosave mambo mengi katika dunia hii tu na nisingependa kuendelea kuyabishania..nimekusoma