Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Ukiizoea unaona kawaida..japo mhaho unasaidiaa kuendeleza matunzo

Hadi kesho kuazimisha gari siwezi...nikimpa basi kwa shingo upande sn..siamini atajali kama mimi
Miezi sita ya kwanza nakuwa busy sana ni ngumu mtu kuigusa maana inakuwa imeshikana na roho.
 
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hii kitu nilisahau. Unakuta mtu anabamiza mlango kwa nguvu kama niko pekee yangu ntaachia tusi hilo kutoa hasira kifuani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
The negative side of being born with a silver spoon
Taking things for granted
Thamani ya kitu hujaigharamia

And kuna tofauti though kujua kuendesha ukiwa mdogo vs actually owning a car...eitherways self purchase ya gari ina raha sana si km la kupewa
Kabisa yaani.
 
Usiombe ununue gari halafu uishi sehemu hakuna uzio, hautalala. Kuna jamaa alikuwa anapaki gari kwa wazazi wake mtaa upo vema, hautoki geti kali mataa kila kona na walinzi kila nyumba.

Yeye anapoishi anakwenda na daladala ila ni mwendo mfupi sana wa kama kilometers nne kasoro.
 
[emoji23][emoji23]Dah iyo namba 6 yan adi paka hutaki aliguse...

Mim nakumbuka mzee wangu aliliosha maji kama nusu tank la lita 2000 sabuni yote ya bafuni aliimaliza alafu chaajabu gari yenyewe ilikuwa PASSO, dah aisee tumetoka mbali
 
Nunua afu utajua ni korosho au ni karanga lol
Tena anaweza kuwa mtata kama kuna mzee huyo alinunua nissan hard body kipindi zinatoka. Yakwake ilikuwa kali balaa. Sasa alikuwa anapita mtaani kuna madogo wanacheza mpira m'moja akabutua ukapiga kioo ila hakikuvunjika.

Mzee alishuka amechanganyikiwa madogo wakatawanyika. Akaenda akarudi tena akaulizia dogo aliepiga mpira ni nani, madogo wakamchoma mwenzao mzee akawaambia wapande wampeleke kwa huyo dogo.

Mzee walifika na akaonana na mzazi wa yule dogo dah dogo alichezea stiki kwa mshua wake.

Mzee kiroho kikasuuzika .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah tutakoma aisee.
 
The real deal....

Umenifanya nikumbuke ndoto ya kuja kusukuma Chevy Camaro...sisi watu wa mimbio kuna gari unatamani uwe nayo na siku unaendesha barabara iwe wazi kama anapita Mama Samia [emoji16][emoji16]
Ujiandae mpunga tu. Hiyo gari si mchezo. Kuanzia bei na hadi wese. Ila spear unapata dubai. Na kufunga itabidi utafute fundi mzuri.
 
True kabisa.
 
[emoji23][emoji23]Dah iyo namba 6 yan adi paka hutaki aliguse...

Mim nakumbuka mzee wangu aliliosha maji kama nusu tank la lita 2000 sabuni yote ya bafuni aliimaliza alafu chaajabu gari yenyewe ilikuwa PASSO, dah aisee tumetoka mbali
Loh. Mzee wako nae kazidi passo ndoo moja kubwa inatosha.
 
Nimeendesha manual transmission more than four years sijawahi kuumwa kiuno wala kukaanga clutch plate. Ni gari safi sana hasa safari ndefu
 
Hehe hehe shukuru mungu tu hukula mzinga ungenyongwa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…