Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Loh. Mzee wako nae kazidi passo ndoo moja kubwa inatosha.
Ilikuwa ndio gari yake ya kwanza, alikuwa hanipi ata kidogo, nakumbuka siku akaniambia nimsindikize anaenda Nairobi ataniacha Arusha stendi pale jogoo house kisha nirudi na gari, alivyofika pale alabadirisha maamuzi akampigia fundi aje kuchukua gari na mim nimo ndani,

Alivyolizoea akawa anaona ni kitu cha kawaida, ajabu kuna siku alituacha hoi sana, amelisahau gari mjini alaf karudi na daladala akashtuka night sana nje amna gari akapiga cm tu... Gari linatia wenge. Mzee ilikuwa akipita kwenye shimo anashtuka kama kajikata na kisu ivi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kuta jamaa alikuwa anaweweseka huko akilala maana gari yake inazungumza nae kwenye usingizi. Unashangaa mke anapigiwa video call anamwambia hebu nionyeshe gari yangu kwanza.

[emoji1787][emoji1787]
 
Nunua afu utajua ni korosho au ni karanga lol
Mimi nikiwa na 21 years nimeanza kumiliki gari yangu mwenyewe magari tokea kitambo yani darasa la 5 sijui huko..ndo maana unaona ID hapo magari damu. Sisi hatunaga roho mbaya hizo. Hadi washkaji zangu hua wananishangaa inakuaje nasaidia sana watu gari.
 
Tena anaweza kuwa mtata kama kuna mzee huyo alinunua nissan hard body kipindi zinatoka. Yakwake ilikuwa kali balaa. Sasa alikuwa anapita mtaani kuna madogo wanacheza mpira m'moja akabutua ukapiga kioo ila hakikuvunjika.

Mzee alishuka amechanganyikiwa madogo wakatawanyika. Akaenda akarudi tena akaulizia dogo aliepiga mpira ni nani, madogo wakamchoma mwenzao mzee akawaambia wapande wampeleke kwa huyo dogo.

Mzee walifika na akaonana na mzazi wa yule dogo dah dogo alichezea stiki kwa mshua wake.

Mzee kiroho kikasuuzika .
[emoji1787][emoji1787]roho mbaya ya nini kiasi hiki. Na hapo hata kioo hakikupasuka asee. Kingepasuka si ndo angepelekwa segerea kabisa
 
Aisee[emoji3]
Screenshot_20211117-115213_Twitter.jpg
 
Aisee nipo mbioni kuchukua PRADO TX LIMITED huo mzuka nitakaokuwa nao sijui. Maana sijawahi miliki SUV nitakuwa nalalaga umoumo ndichi
Ha ha ha ha utaweza moto wa prado
 
Ilikuwa ndio gari yake ya kwanza, alikuwa hanipi ata kidogo, nakumbuka siku akaniambia nimsindikize anaenda Nairobi ataniacha Arusha stendi pale jogoo house kisha nirudi na gari, alivyofika pale alabadirisha maamuzi akampigia fundi aje kuchukua gari na mim nimo ndani,

Alivyolizoea akawa anaona ni kitu cha kawaida, ajabu kuna siku alituacha hoi sana, amelisahau gari mjini alaf karudi na daladala akashtuka night sana nje amna gari akapiga cm tu... Gari linatia wenge. Mzee ilikuwa akipita kwenye shimo anashtuka kama kajikata na kisu ivi
Sasa alianzaje kupanda daladala na kuacha gari alipigiwa simu kuwa nyumbani kuna majanga nini?!
 
Mimi nikiwa na 21 years nimeanza kumiliki gari yangu mwenyewe magari tokea kitambo yani darasa la 5 sijui huko..ndo maana unaona ID hapo magari damu. Sisi hatunaga roho mbaya hizo. Hadi washkaji zangu hua wananishangaa inakuaje nasaidia sana watu gari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu yakweli haya.
 
[emoji1787][emoji1787]roho mbaya ya nini kiasi hiki. Na hapo hata kioo hakikupasuka asee. Kingepasuka si ndo angepelekwa segerea kabisa
We ule mpira ulivyopiga mzee nadhani huko ndani atakuwa alipata mshituko wa mlipuko wa moyo maana mpiga ulipiga halafu ukatua katika bonet sasa ile mikelele mzee alichanganyikiwa balaa
 
The negative side of being born with a silver spoon
Taking things for granted
Thamani ya kitu hujaigharamia

And kuna tofauti though kujua kuendesha ukiwa mdogo vs actually owning a car...eitherways self purchase ya gari ina raha sana si km la kupewa
Ni kweli uyavyosema but the fact is, to me is not about taking things for granted au kutojua thaman ya vitu ambao hujaigharamia, ni hivi, kwangu Mimi Bila kujali gari ni yangu lakin bado nilko kwenye barabara zile zile, naishi maisha yale yale nliyokuwa kabla ya kupata gari yangu, Mimi gari bila kujali ni yangu ama ni Uber, ama daladala but it's just mode of transportation. Hiyo ni moja ya ukweli mgumu sana kwa watu kuishi nao. The material things doesn't matter to me anymore. Iwe nyumba nzuri, simu nzuri ama chochote kizuri, I get bored the second I own it. So Mimi hua naona gari halifanyi maisha yangu kuwa bora pale nanunua. Mimi kuwa mtu mzuri na kufanya kwa ajili ya wengine ni hisia bora zaidi kuwahi kuwa nazo...it's put smile on my face kila nikikumbuka😊....but sorry I'm not trying to be disparate, najaribu to express my view...
 
Back
Top Bottom