Abu iandike kwa herufi kubwaWazaramo
Karibu mkoaa wa Pwani.
Wakurya
Sasa unaingia mkoa wa Mara
Waluhya hao wanatahiriwa bila ganzi, ukisikia "ndakogeche" kama ameshikilia panga unampiga ngumi ya uso panga linadondoka chini.Jamani mnanichanganya, ni Mluhya wa Kenya au Mkurya wa Mara
Watu wengi wanakujibu kimzaha hadi nashangaa!Jamani mnanichanganya, ni Mluhya wa Kenya au Mkurya wa Mara
Mm are sihusiki hapo
Ukimkuta mjeda atakurusha kichura balaaaa.... kisa kwa nini umefuga ndevu ukapita eneo la geshi!!!nawapendI dharau.
Vita mura, chacha Marwa chachaHabari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,.
Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko dar maeneo ya ukonga , ila sijawai kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha
Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara falni na anaonesha nia ya kuoa, nimeona nimpigie ka reseach ka mapema.
Jinsi alivyo ni mrefu, mchangamfu kimtindo, ni msabato.
Ni watu wa wapi ?
Ni kabila lipi ?
Stereo types zao nzuri na Mbaya?
Ni Wamasai wa ngorongoro hao mkuu,ingawa majuzi wameondolewa porini na kuhamishiwa Handeni,Tanga.Jamani mnanichanganya, ni Mluhya wa Kenya au Mkurya wa Mara
Kwa haya Madongo uliyotupiga wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) sina shaka kuwa Wewe ni miongoni mwa Watani zangu Wakubwa Wahaya, Wanyiramba, Waha, Wanyaturu, Warangi, Wakara na Wanyamwezi. Nimecheka mno.Chacha.. Wakurya kutoka tarime na maeneo jirani mkoani mara.
Ni ndugu zake akina heche, sirro, ryoba, wambura na msuguri.
Kazi yao serikalin ni majeshini, pia wez na majambazi.
Siku huyo dada yako akijichanganya atapokea kichapo cha mbwa koko.
Wanatahiriwa kwa kisu, mboo inakuwa na makovu mengi, so dada yako anasuguliwa vzr hivyo hatabanduka.
Maelezo ya zaidi anakuja bwana mdogo GENTAMYCINE mwenye kipaji kuliko wote, iq yake nene kuliko wote kusin mwa jangwa la sahara.