Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Isijr ikawa ulikua unamsaidia kwa kumsimanga. Akawa anavumilia akikuwekea kisasi maana nyie si tunawajua lakin??!!Yaani ndo yalonikuta hapa aseeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isijr ikawa ulikua unamsaidia kwa kumsimanga. Akawa anavumilia akikuwekea kisasi maana nyie si tunawajua lakin??!!Yaani ndo yalonikuta hapa aseeeee
Uende na hela zako, kama huna kausha 😅😅Nitamletea alichofanya anipende [emoji12]
never never neverIsijr ikawa ulikua unamsaidia kwa kumsimanga. Akawa anavumilia akikuwekea kisasi maana nyie si tunawajua lakin??!!
Lakini inakua ni too lateMtu likimpata kubwa ndo anarudisha akili anajua kumbe kuna mahali nmekosea
Uende na hela zako, kama huna kausha [emoji28][emoji28]
Mtu likimpata kubwa ndo anarudisha akili anajua kumbe kuna mahali nmekosea
Tulizinguana 2022 ila tulikuwa tunaishi pamoja tangu 2021 ila mahusiano yalianza 2020 nadhan mwanzoniMwaka gani?
Ila mm nlifurah mana ameondoka muda mzur em imagine tungekuwa na mtoto ingekuwajeLakini inakua ni too late
Tulizinguana 2022 ila tulikuwa tunaishi pamoja tangu 2021 ila mahusiano yalianza 2020 nadhan mwanzoni
Hapo sasa ungekua na mziki mnene sjui ungechezajeIla mm nlifurah mana ameondoka muda mzur em imagine tungekuwa na mtoto ingekuwaje
Ah bc kwenye mahusiano hua ht siumizi kichwa khvy wala sion n jambo gumu, juzi kati hapo mwez wa 5 ndo kuna hali nimepitia mpaka nikanyoosha mikono juu na nikalia kama mtoto 😂Pole sana, kumbe ulipitia magumu
👇Ulizaa naye? Kwani ilikuwaje kuwaje mpk mkazinguana?
N vile tuu alitaka mwanae awe karibu na babake huku hapo hapo niliamua kuchukua jukumu hilo la mwanae.
Sasa hilo sio tatizo ila tatizo ni kwamba alitaka mtoto akiwa kwa babake nae awepo huko huko nkaona huo n upuuzi hvy nikakata kila nilichokuwa nafanya kwa mwanae, alirudi na kilio mana huyo jamaa ake alikuwa hamfanyii lolote mwanae ila Mm nikawa tayari Nimefunga madirisha na mlango.
CC Ms R
Ndo muda wa kuwa kichaa aisee 🙌 sitak ht kuwaza ingekuwajeHapo sasa ungekua na mziki mnene sjui ungechezaje
Hahahaha 😂😂😂😂,,kama ivo tu umetuwekea avatar ya namna hio sjui ungekuaje weweNdo muda wa kuwa kichaa aisee 🙌 sitak ht kuwaza ingekuwaje
Huyo ni Mshehereshaji tu humu hayuko seriousasante umenisanua mapema 😄🙌🏾
ila umeandka weweHuyo ni Mshehereshaji tu humu hayuko serious
We nae dishi limeyumba kweli 🤣🤣🤣Ulizaa naye? Kwani ilikuwaje kuwaje mpk mkazinguana?
Dah! Ulivyopona pona ban kwa hekaheka ulizokuwa nazo kwa hizi siku mbili tatu basi hutakuja kupigwa ban tena. Wallahi sijaamini; na ni guarantee kwamba utatoboa mpaka Krismasi safari hii. Inabidi tu nikuhongereshe maana hakuna namna 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🖐[emoji23][emoji23][emoji23] Hata hii mtaizoe tyuu!! Mimi nimeichoka, au km vipi nipe picha yako niweke.
Nimeandika nini tena Mtarajiwa?ila umeandka wewe