Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nimeona ume lock PM ningekuwa nimeshazama zamani sana😁😁 kwanin usije wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona ume lock PM ningekuwa nimeshazama zamani sana😁😁 kwanin usije wewe
ngoja nitafute funguo nifungue coz nilizipotezaOpen your heart nizame ndani
Unaanza kubana tena, Mimi PM iko wazi 😁😁😁ngoja nitafute funguo nifungue coz nilizipoteza
N vile tuu alitaka mwanae awe karibu na babake huku hapo hapo niliamua kuchukua jukumu hilo la mwanae.Hebu tuambie ili experience mazuri, mabaya, mapungufu yapi?
Yeye ataleta hizo pesa kwenye kupendana kwenu, wewe utaleta nini?
lilikua lijinga aseeeee,,N vile tuu alitaka mwanae awe karibu na babake huku hapo hapo niliamua kuchukua jukumu hilo la mwanae.
Sasa hilo sio tatizo ila tatizo ni kwamba alitaka mtoto akiwa kwa babake nae awepo huko huko nkaona huo n upuuzi hvy nikakata kila nilichokuwa nafanya kwa mwanae, alirudi na kilio mana huyo jamaa ake alikuwa hamfanyii lolote mwanae ila Mm nikawa tayari Nimefunga madirisha na mlango.
CC Ms R
😂😂Nitamletea alichofanya anipende [emoji12]
Nani akuoe wewe single mother
cure!?,,we ni Diclofenac, Panadol,dukulopaaaa..........
ivi alikua anafkiria mara mbili kwel!!?N vile tuu alitaka mwanae awe karibu na babake huku hapo hapo niliamua kuchukua jukumu hilo la mwanae.
Sasa hilo sio tatizo ila tatizo ni kwamba alitaka mtoto akiwa kwa babake nae awepo huko huko nkaona huo n upuuzi hvy nikakata kila nilichokuwa nafanya kwa mwanae, alirudi na kilio mana huyo jamaa ake alikuwa hamfanyii lolote mwanae ila Mm nikawa tayari Nimefunga madirisha na mlango.
CC Ms R
Ndo hvy tenalilikua lijinga aseeeee,,
Kata rufaa ya maisha.😎akwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
Sema ile avatar yako ya lol single mother linaongea na Aifoni ndio nzuri irudishe basi 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] Yani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa, sasa aliyekwambia single maza haolewi nani??
What have you done with your life? Was he also an obstacle in your efforts to make your own dough? Aren't you also part of the problem, dear sis? 😳akwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
Labla alijua akifanya hvy atarudisha mapenzi kwa huyo jamaa akeivi alikua anafkiria mara mbili kwel!!?
Pole sana mamaa, niliwahi kuwa na mahusiano na single mamaa fln aiseee hua sijui n kwamba anapenda kwel au anataka sehemu ya kutuliza hisia zake kwa ndoa.
nitakuja for the right time😄Unaanza kubana tena, Mimi PM iko wazi 😁😁😁
Watu ni wachokonozi sana yaani mtu akikujua 0.1% anaona amekuwin sana[emoji23][emoji23][emoji23] Yani jf hata km hutaki ugomvi utalazimishwa, sasa aliyekwambia single maza haolewi nani??
Mxiuuu ebu uko nawew 😂Kata rufaa ya maisha.😎
duh nmekosa ata la kusemaNdo hvy tena