Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hapana bhana, hy pole imetoka moyoni kabisaumecheka then unipe pole ya kinafiki 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bhana, hy pole imetoka moyoni kabisaumecheka then unipe pole ya kinafiki 😂😂😂
Mkuu umri umeshanitupa mkono kwa hiz harakatiUwe Campaign Manager wangu nichukue hilo jimbo
😂😂😂😂😂 Shut upDah kwahy amekuacha na mtoto? 😔
siitaki bora itoke miguuni😂Hapana bhana, hy pole imetoka moyoni kabisa
😳😳😳😳😳😳😳😳Hii ni yangu kwel!?Rudianeni
Next time itatokea mguu wa tatu 😎siitaki bora itoke miguuni😂
Pole sana mamaa, niliwahi kuwa na mahusiano na single mamaa fln aiseee hua sijui n kwamba anapenda kwel au anataka sehemu ya kutuliza hisia zake kwa ndoa.😂😂😂😂😂 Shut up
Yeye ataleta hizo pesa kwenye kupendana kwenu, wewe utaleta nini?“Pata pesa tujue tabia yako” sasa mwanaume akiwa te si lazima anyenyekee hana meno.!
Mimi kwakweli mwanaume awe na pesa ndio tupendane, kutibuana baadae akishajipata aanze kunipa stress sitaki.!
Hujasomeka ina maana jamaa aliacha Copy yake?ndugu wewe,,nna chata moja heavy 🙌🏾🙌🏾
Kufa na hali yangu si dhambi kuliko kutegemea kusubiri mtu atajirike
Pole sana I'm the one to cure your heart, nicheki PM nipo serious 🤔Yaani ndo yalonikuta hapa aseeeee
Sijawahi kumwelewa kabisa yaani bado ana safari ndefu sana ya kuwa Mwanamke huyoMwanamke anaekupendea pesa hafai.
Hatari Mkuu 😅Pole sana mamaa, niliwahi kuwa na mahusiano na single mamaa fln aiseee hua sijui n kwamba anapenda kwel au anataka sehemu ya kutuliza hisia zake kwa ndoa.
cure!?,,we ni Diclofenac, Panadol,dukulopaaaa..........Pole sana I'm the one to cure your heart, nicheki PM nipo serious 🤔
Ivan Stepanov campaign manager ingia mzigoni tuchukue hili jimbo, lina CV nzuri
kwaio ulimuacha😳😂Pole sana mamaa, niliwahi kuwa na mahusiano na single mamaa fln aiseee hua sijui n kwamba anapenda kwel au anataka sehemu ya kutuliza hisia zake kwa ndoa.
Cure your angers, gludges na negativity zote ulizo sababishiwa na huyo rofacure!?,,we ni Diclofenac, Panadol,dukulopaaaa..........
Copy yakeHujasomeka ina maana jamaa aliacha Copy yake?
Au unamilikiwa na rofa mwingine?