Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Vumilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na shida ni wakijipata wengi wao hubadilika. Anaanza kukuona sio type yake.yaani,,leo wanakuja tu eti tujifunze kuvumilia
Kwa nini wewe usitafute hizo pesa uende nazo kwenye ndoa.wanWake mnapenda vitonga“Pata pesa tujue tabia yako” sasa mwanaume akiwa te si lazima anyenyekee hana meno.!
Mimi kwakweli mwanaume awe na pesa ndio tupendane, kutibuana baadae akishajipata aanze kunipa stress sitaki.!
😂😂🤣🤣 Hakika sorry for insulting u,, nisamehe sana,,ila sikupenda jibu na tusi lako really sorryKidumu chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Yaani ndo yalonikuta hapa aseeeeeNa shida ni wakijipata wengi wao hubadilika. Anaanza kukuona sio type yake.
Pesa humbadilisha mtu tabia.
😆[emoji75][emoji75]
na yeye atakuwa ana regret . yeye maskini . je wewe unazo pesa?????????? useme yeye hana ila wewe unazo.akwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
OMG kwani hua wanasema mm n lofa sasa,,, alikuja ki ofisa ofisa🙌🏾😂 sitakiPole sana kama unaangukia kwa Malofa. Naweka booking basi Mimi ni intellectual. Nicheki PM
wewe utakuwa na gubu ......yaani una kisirani balaaaYaani ndo yalonikuta hapa aseeeee
nilikua nazo na tulitumia zangu ,,sasa tungeishi vipi kama wote hatuna kitu!?na yeye atakuwa ana regret . yeye maskini . je wewe unazo pesa?????????? useme yeye hana ila wewe unazo.
😁😁 Sijawahi miliki io kitu,,,ila mnatetea upande mmoja utasema ni malaika na kumbe wabaya wapowewe utakuwa na gubu ......yaani una kisirani balaaa
Hiyo ni kazi ya wanaume 😜Kwa nini wewe usitafute hizo pesa uende nazo kwenye ndoa.wanWake mnapenda vitonga
It could be your self golden chance, ni PM tuanze mchakato. Huyo Lofa alitokea wapi? Hakukuachia Copy?OMG kwani hua wanasema mm n lofa sasa,,, alikuja ki ofisa ofisa🙌🏾😂 sitaki
Bado ujasema 😂akwende kule na umaskini wake,,sio maskini wote wa kuvumiliwa wengine ni vichomi,, now I'm regretting here for wasting my time to him.
Sasa hapo unampenda au unapenda pesa zake? Zikiisha uanasepa.“Pata pesa tujue tabia yako” sasa mwanaume akiwa te si lazima anyenyekee hana meno.!
Mimi kwakweli mwanaume awe na pesa ndio tupendane, kutibuana baadae akishajipata aanze kunipa stress sitaki.!
Huyo hata haelewekiSasa hapo unampenda au unapenda pesa zake? Zikiisha uanasepa.
ndugu wewe,,nna chata moja heavy 🙌🏾🙌🏾It could be your self golden chance, ni PM tuanze mchakato. Huyo Lofa alitokea wapi? Hakukuachia Copy?
sawa tu😂🙌🏾Bado ujasema 😂