Kina dada jifunzeni hapa, usimdharau mwanaume asiye na kitu huwezi jua kesho yake

Kina dada jifunzeni hapa, usimdharau mwanaume asiye na kitu huwezi jua kesho yake

Kwa hili hata mi nakuunga mkono, piga chini marioo.. mwanaume anatakiwa kuwa mpambanaji na hata unapom support iwe unaona kabisa raman zake zinaeleweka na progress inaonekana

😅😅
msipende kutulaumu bure aseeee,,,mtu unasema ngoj nimshike mkono mwenzangu,, kumbe hio unayomshika mkono anaenda kuhonga mbele 😆😆 woooiii
 
Taiwo amesema kitendo Cha kuoa kabla ya kupata pesa na umaarufu kimemsaidia sana katika maisha yake 👏🏿👏🏿

Kipindi ambacho naoa Kila mtu alimshauri mke wangu asiolewe na mm maana nilikuwa Sina pesa za kutosha kufanya jambo zuri Kwa ajili yake 😭😭lakini binti wa watu aliziba masikio na kusema naamini ipo siku tutapata hizo pesa ambazo watu wanaona hatuna 🥺

Nilipopata Fursa ya kucheza mpira alikuwa ananisukuma kuwahi mazoezi Kila siku 👏🏿👏🏿
Na Sasa tunaishi maisha ya furaha nimepata pesa nimemnunulia Kila kitu alichokuwa anakitamani na hata Sasa naendelea kumnunulia ili azidi kufurahi 💕💕alinipenda wakati sikuwa na kitu ,akakubali kuolewa na mm wakati sikuwa na kitu ,Sasa nimezipata Fursa kwake kuzitumia ❤️❤️

Wale walionidharau ,walisema mm ni maskini siku hizi wanapiga simu wanaomba msaada kwangu 🤪 wasichana walionikataa Sasa hivi wanalilia na kusema wako tayari kutoa miili Yao Kwa ajili yangu 🤣

Nawaaambia tu kaeni mbali am happily married man 👏🏿👏🏿👏🏿

WeeView attachment 3025519
sio huku tanzania wanamke wa ccm walivyo vyura kiziwi
 
Kabisa tamaa za muda mfupi zinawacost
Uongo kiswahili uzuri Hivyo vitu tunavijua vizuri kuwa Nyota njema huonekana asubuhi sio jioni hao nyota mbaya asubuhi na kuwa nyota njema jioni wachache sana kama huyo Taiwo

Bahati ya Taiwo sio ndio ya wanawake wote wailaloe mlango wazi kuolewa na malofa

Lofa akatafute lofa mwenzio wakaoane mbona malofa wa kiume na kike mbona wako wengi tu wakaone wenyewe huko ili.kutoleta sintofahamu mbele ya safari
 
Back
Top Bottom