Kina dada jifunzeni hapa, usimdharau mwanaume asiye na kitu huwezi jua kesho yake

Kina dada jifunzeni hapa, usimdharau mwanaume asiye na kitu huwezi jua kesho yake

Taiwo amesema kitendo Cha kuoa kabla ya kupata pesa na umaarufu kimemsaidia sana katika maisha yake 👏🏿👏🏿

Kipindi ambacho naoa Kila mtu alimshauri mke wangu asiolewe na mm maana nilikuwa Sina pesa za kutosha kufanya jambo zuri Kwa ajili yake 😭😭lakini binti wa watu aliziba masikio na kusema naamini ipo siku tutapata hizo pesa ambazo watu wanaona hatuna 🥺

Nilipopata Fursa ya kucheza mpira alikuwa ananisukuma kuwahi mazoezi Kila siku 👏🏿👏🏿
Na Sasa tunaishi maisha ya furaha nimepata pesa nimemnunulia Kila kitu alichokuwa anakitamani na hata Sasa naendelea kumnunulia ili azidi kufurahi 💕💕alinipenda wakati sikuwa na kitu ,akakubali kuolewa na mm wakati sikuwa na kitu ,Sasa nimezipata Fursa kwake kuzitumia ❤️❤️

Wale walionidharau ,walisema mm ni maskini siku hizi wanapiga simu wanaomba msaada kwangu 🤪 wasichana walionikataa Sasa hivi wanalilia na kusema wako tayari kutoa miili Yao Kwa ajili yangu 🤣

Nawaaambia tu kaeni mbali am happily married man 👏🏿👏🏿👏🏿

WeeView attachment 3025519
Kizz Daniel nae kaongea hiki hiki,wakati anaanza kuimba wengi walimwambia hajui,ila mkewe ndiye aliye muamini akawa anampa hela ya kurekodi studio, leo hii anafurahia matunda na mmewe.Kuna siku alimpost wakamponda,mbaya nao ndio akawapa hii historia fupi na mkewe na mwezi huu kaachia nyimbo ya kumsifia mkewe.

Alisimulia story hii baada ya kumpost mkewe watu wengi hasa wanawake walimponda mbaya,ndipo akawaambia why mkewe ni special.
 
Michelle Obama alikuwa anatoa story siku ya jwanza Barack Obama kaja kumpitia waende kwenye date, kaja na gari bovu ukiangalia chini limetoboka mpaka barabara unaiona.

Lakini alinuelewa huyu mchizi akiki yake kubwa tutafika naye mbali.

Akaenda naye mpaka Barack kawa rais wa Marekani.

Nas ali rap

"One for the honies who roll blunts up but don't smoke
Two for the few who see potential in you when you broke"

Nas - "Hey Nas"
 
Michelle Obama alikuwa anatoa story siku ya jwanza Barack Obama kaja kumpitia waende kwenye date, kaja na gari bovu ukiangalia chini limetoboka mpaka barabara unaiona.

Lakini alinuelewa huyu mchizi akiki yake kubwa tutafika naye mbali.

Akaenda naye mpaka Barack kawa rais wa Marekani.

Nas ali rap

"One for the honies who roll blunts up but don't smoke
Two for the few who see potential in you when you broke"

Nas - "Hey Nas"
Bila kusahau Jay Z kwenye Bitches and Sisters alisema

Sisters get respect, bitches get what they deserve
Sisters work hard, bitches work your nerves
Sisters hold you down, bitches hold you up
Sisters help you progress, bitches will slow you up..
 
Back
Top Bottom