To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mtakuwa mmewekezaje tajiri hafilisiki? Akifilisika mtatoka nduki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakuwa mmewekezaje tajiri hafilisiki? Akifilisika mtatoka nduki?
Na ndio siwataki ng'oooNa ndio uhalisia wa sasa.
Itabidi uwe mtulivu sana kwenye kuchagua mwenza.Na ndio siwataki ng'ooo
Kakufanyaje jirani yangu huyo namuelewa sana na kibode chake.Sijawahi kumwelewa kabisa yaani bado ana safari ndefu sana ya kuwa Mwanamke huyo
Niwe mara ngapi? Nimetulia wasijeniharibia uvulana wangu bureItabidi uwe mtulivu sana kwenye kuchagua mwenza.
[emoji1787] hongera zako.Niwe mara ngapi? Nimetulia wasijeniharibia uvulana wangu bure
Jizime data tu na upo jf.😳😳😳😳😳😳😳😳Hii ni yangu kwel!?
Msije nichezea bure😂[emoji1787] hongera zako.
Naomba Mungu anitie nguvu nikae kimya [emoji23]Msije nichezea bure[emoji23]
😂 ropokwa kama hujafutwa kama selfikaNaomba Mungu anitie nguvu nikae kimya [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba parokwo hutaniwi.[emoji23] ropokwa kama hujafutwa kama selfika
hutishiwi mama parokwo 😉😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba parokwo hutaniwi.
Na kwa nini usubiri mtu. Huwezi jijenga hivyo mwenyewe?Kufa na hali yangu si dhambi kuliko kutegemea kusubiri mtu atajirike
yani hio kitu ni NEVERJizime data tu na upo jf.
Nyio kitu nyi nyeva, tema mate chiniyani hio kitu ni NEVER
sitemi na nimemaliza NEVER EVER,,, YAAAN KAMWENyio kitu nyi nyeva, tema mate chini
Labda ALLY KAMWEsitemi na nimemaliza NEVER EVER,,, YAAAN KAMWE
woooiii,,sema siwezi anika humu,,ila hata kwa mpumbavu kiasi gani hawezi rudi.Labda ALLY KAMWE
Shida mnaangalia sana wavaa milegezo na hereni masikioni. Sisi wavaa mikanda kiunoni mnaturuka, nyota njema uonekana asubuhi.sema ndo tunaangukia kwa malofa balaa🤣