Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Nilipitaga pale Mlimani City siku moja kulikuwa na foleni,nikaamua nitembee kwa miguu mpaka Ubungo.Aisee yani pale kweli wapo kazini,unakuta mzigo huo umewamba kwenye tight,huku kwa mbele mpaka michoro ya K aka Camel toe inaoneka.

Yaani kile kipande kutembea tu nahisi nilitumia zaidi ya lisaa.
 
Story kama hii bila supporting document ni usaliti kwa wasomaji
 
Ukitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Hawajali wala hawaoni aibu. Hiki ndiyo kizazi tulichonacho sasa. Mungu atuhurumie
 
Muhimu wewe tazama mishe zako. Mambo kama mbele siku hizi. Mm mwenyewe nakimbiaga sana jioni nikiona warembo nawapita vuuup sina habari wala nn. Maisha ya Leo ukitaka kuyafurahia usimwangalie wa pembeni yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…