Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Hahahahaha mwambie atulize mshono, karma will always work
 
Mdogo wangu kazaliwa 2000 amemaliza 4 lakini hata ukikaa nae maongezi yake tu hajajitambua alafu kuna janaume linammendea ovyo kabisa.kesho linalizwa linakuja kujaza seva hapa
Usimuonee wivu mdogo wako, acha tummendee afaidi kabla ya mda wake na yeye kupita huku tukiwasubiri wa mwaka 2005.
 
Mifataki utaijua tu!!
 
Hahahahahah sisi tupo busy na kulea sasa hivi bwana,huko kwenye kuattract mabwana hatupo tena.Tushaolewa sasa wanetu wapo class 3.Na bado tunanyonyesha.Kila jambo na wakati wake.Nakushangaa sana kutucompare na wa miaka ya tisini.
Tulelee mama hata hao unaowalea tunawasubiri; kwa sasa tunatafuna nyama mbichi kabisa ya mwaka 2000. Wee lea sana tena tunakuheshimu mno kama mama.
 
Kama una mpango wa kulipia mtoto wa mtu ada basi endelea kuhangaika na hao wa 90's
 
Tulelee mama hata hao unaowalea tunawasubiri; kwa sasa tunatafuna nyama mbichi kabisa ya mwaka 2000. Wee lea sana tena tunakuheshimu mno kama mama.
Jiandae kulipa mahali kubwa sana,sisi wasukuma lazima uje umekamilika mkwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…