_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 942
Na maziwa mdomoni!!2000? Vitoto vinanuka mikojo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na maziwa mdomoni!!2000? Vitoto vinanuka mikojo.
Hahaha umenichekesha hd nalalaNa maziwa mdomoni!!
Haahaaha ndio hivyo.Hahaha umenichekesha hd nalala
Mmmh wanaume wanazip kuisha jmnManeno kuntuuu..jua lishazamaa...ngoma hobela hobelaa...maji yashazidi unga..haibani tenaaa...no mnato at all
Mtoto kwa mama yake nyumbaniWanaume wachafuaji utawajua tu,umepanga kutuchafulia vitoto vya Dada na kaka zetu vitoto ambavyo hata future navyo ni finyu wanaume hebu muwe na huruma unayoyafanya kwa mtoto wa mwanaume mwenzio ndiyo yatakayofanywa kwa binti yako, mimi nna binti mmoja wa kike lakini mume wangu huwa anamuwazia sana hasa pale muda utakapofika mabazazi kama mtoa post watakapoanza kumnyatia
Queen, huoni kuna ukweli ndani ya hii thread! Age matters mama.Nadhani mleta Mada atakuwa alitongoza mdada wa 80s alafu akamkatalia ndo maana ametokwa na povu Sana hyo yote ni maumivu ya kukataliwa
Tushapumzishwa mkuu, tupo tunalea watoto wetu.Kukomaa kiakili sawa, lakini siyo na mwili ukomae hivyo; siyo kabisa, pumzikeni tu muachie wale wabichi.
Kama aliwah lakn wengi wao mwaka huu ndio wako form fourMtu wa 2000 anaweza kua kamaliza form 4?
YesMtu wa 2000 anaweza kua kamaliza form 4?
Dah aisee umenifuahisha kupita maelezo! There couldn't be any better answer than thisUtatuweza wapi sisi wewe nenda Kwa vikojozi wenzako.
umesababisha nijinuse mkuu kuisikia hiyo harufu ya uzee [emoji12]Haha naimagine hiyo harufu yako itakavyokuwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe wa miaka ya 80 lazima utamani wa miaka 90
Saivi tuna majukumu ya kimaendeleo na wa miaka ya 70 ndo wanatuona wabichi kabisaa!!! Majukumu yameongezeka nyie endeleeni kuwatafuna wao tuu maana hamna namna ingine
Mkuu njoo basi tuungane tuanzishe familia mkuume ni mzee mkuu wa hiyo hiyo 80