Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Ng'ombe hazeeki maini kijana.....!
 
Katika hali ya kawaida siwezi kununua range rover ya mwaka 1987 kama zikikuwepo kwa mfano nikaacha vits ya mwaka 1999, haiwezekani, mimi binafsi siwezi kutoka na dada wa miaka 29 nikaacha dogo wa miaka 25, 24. Haiwezekani.
Hapa ndio tunatofautiana. Mimi nitachukua RR ya 1988 na kuacha Vits ya 1999. Unajua kwanini? Kwasababu class yangu ni RR sio Vits na RR itakiwa RR na Vits itabaki kuwa Vits regardless of their age.
 
Nyie mnao wadiss hawa dada zetu wa 80's nawasikitikia sana labda km mna mpango wa kutooa maishani lkn kumbukeni hata hao wa 90's mnao waona wazuri leo nao muda wao utapita tu. Mi binafsi ni wa early 80's na nawakubali sana dada zangu hawa nyie endeleeni kuwadiss tu.
 
Hahahahahah sisi tupo busy na kulea sasa hivi bwana,huko kwenye kuattract mabwana hatupo tena.Tushaolewa sasa wanetu wapo class 3.Na bado tunanyonyesha.Kila jambo na wakati wake.Nakushangaa sana kutucompare na wa miaka ya tisini.
Hongera kwa kuolewa Mkuu
 
Wanawake wanatakata kusikia age iz just a number otherwise niandae kwa msuto
 
Yani hapa mtaani kuna mtoto wa 95 ananisumbua balaa,halafu ni kisu cha hatari.
Mleta mada umeona kwa jicho pevu sn,hawa 90+ ni wamoto usipime
 
Tatizo hao 90s ni wasumbufu hatari, hakajui muda huu unafanya kazi, muda huu uko busy, sasa kakupigie cm usipokee au inatumika, mtu mzima unaomba msamaha na inabidi uwe na utoto kama wake ndo muendane.....!!!! Dah, full stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…