Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Wanaumee Waliozaliwa miaka ya 80... Wake zao wapo miaka ya 90....
Likewise wanaume miaka ya 70 wake zao wapo 80....
 
Shida ya vitoto hivi kuvitongoza kazi sana -ila wa 80 wengi ni waelewa
Hiyo ni kweli, hawa wa 1980s ni waelewa mpaka basi. Yaan we sema tu nahitaji kitu katikati ya miguu mtacheka halafu mnapanga siku. Sio siri mambo yamejirahisisha siku hizi
 
Hahahahahah sisi tupo busy na kulea sasa hivi bwana,huko kwenye kuattract mabwana hatupo tena.Tushaolewa sasa wanetu wapo class 3.Na bado tunanyonyesha.Kila jambo na wakati wake.Nakushangaa sana kutucompare na wa miaka ya tisini.


Umeongea vizuri kwa hekima.

Ingawa na mimi niko na wa 90s...
 
Tehteh,mwanaume akifikisha miaka 40-50 ndo anazidi kun'gaa,wenyewe wanaita aging like fine wine,
Kipindi hicho kabla sjashtuka nlikuwa nawahusudu sana wanawake wa rika langu,wakaniengusha wee,nikaja kugundua kuwa mie ndo natakiwa kuringa na sio wao,now hawanipi shida, na deal na wachuchu 5 or more years younger than me na maisha yamekuwa stress free.Kwakweli ni bora kuwa na mwanamke alokuzidi hata miaka 10 kuliko ambaye mnalingana umri
 
Hiyo ni kweli, hawa wa 1980s ni waelewa mpaka basi. Yaan we sema tu nahitaji kitu katikati ya miguu mtacheka halafu mnapanga siku. Sio siri mambo yamejirahisisha siku hizi
Mmmhhh!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
2017
- 1980
----------
0037
------------

37. Oclock [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Menopause 45 oclock

45
-37
---- --
08
--------

You are wrong mkuu
Hii calculation ya mwiisho sijakuelew, maan n mimi ni muhanga wa.mwaka 85
 
Hii calculation ya mwiisho sijakuelew, maan n mimi ni muhanga wa.mwaka 85
Ni kwamba ,
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 45 hawezi kuzaa,
Chukua ,
2017
-1985
----------
0032
--------

45 - 32 = 13

13 ni idadi ya miaka ambayo unaweza kushika mimba na kuzaa
 
Hahahahahah sisi tupo busy na kulea sasa hivi bwana,huko kwenye kuattract mabwana hatupo tena.Tushaolewa sasa wanetu wapo class 3.Na bado tunanyonyesha.Kila jambo na wakati wake.Nakushangaa sana kutucompare na wa miaka ya tisini.
Ndio hapo sasa.. Watu tunalea ndoa na watoto asa hivi
 
Ni kwamba ,
Mwanamke akifikisha umri wa miaka 45 hawezi kuzaa,
Chukua ,
2017
-1985
----------
0032
--------

45 - 32 = 13

13 ni idadi ya miaka ambayo unaweza kushika mimba na kuzaa
Unamuongeleaje na Janet Jackson aliyezaa akiwa na 50s?
 
Ivi kwa akili yako hao wadada wa miaka hiyo wanawafikiria nyie??? We fata tu watoto wa 90 na hao wadada watafwata na wanaume wa 70... Thats life...
 
Back
Top Bottom