Kina dada tupunguze maamuzi yasio ya muhimu kwa kaka zetu waingiapo kwenye ndoa zao

mmh... huo wivu mawifi mpunguze jamani.
Hamjiamini?

Ila mjiangalie, wengi wenu vimeo hadi waume zenu hawawaamini. Hivi mimi mume wangu anaanzaje kushirikisha ndugu zake masuala ya nyumba yetu? ANANIAMINI hata aache pesa hapo asafiri mwaka mzima anajua mkewe TREKTA.
Akikuona KILAZA lazima atatafuta wa kumsaidia mawazo. Vinginevyo huyo mume nae KIMEO.
 
Mweeh... Nashkuru sina wifi,maana the way nilivyo ningepata tabu kama ningekutana na mawifi waruwaru
 
kuna wifi mpaka mama wakwe wengine nao wasumbufu sana. kutwa maneno tu.

na sisi wanaume tuwe na misimamo.
 

sasa dada alikuwa ananidunda tangu utotoni, hata miezi kadhaa nyuma kabla ya kufunga ndoa alinidunda....leo anipangie nikatae kweli?? hunitakii mema
 
sasa dada alikuwa ananidunda tangu utotoni, hata miezi kadhaa nyuma kabla ya kufunga ndoa alinidunda....leo anipangie nikatae kweli?? hunitakii mema
Mmh hongera, upigwe vizuri tu
 
sasa dada alikuwa ananidunda tangu utotoni, hata miezi kadhaa nyuma kabla ya kufunga ndoa alinidunda....leo anipangie nikatae kweli?? hunitakii mema
Ungeenda kuishi na dada ako ili usimpe shida mkeo ingependeza zaid
 

Kimya, unitafute ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…