Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

EAT.....
Nikajua uchizi wako uko Jumatatu hadi Ijumaa....
Panua Pm ndio kiswahili gani?
Yes leo Jumamosi... khaa ninauchizi tena!

Hicho kiswahili fasaha... yako haijapanuliwa kwani? namaanisha PM
 
Umeshapata Jibu Juu ya Ufafanuzi uliokuwa unautafutia majibu?
Njoo Pm nikufundishe jinsi unavyotakiwa kusalimiana na wadada Pm....
Huogopi hilo funzo nitalitumia kwa wadada wengine pm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…