Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Umeona eeeee
Tumewachoka.

Ndo mana Pm zinafungwa.
Wanawake tunatakiwa mtujali, chezeni na hisia zetu.

Kuna mtu nachat nae mwaka wa 2 huu....ila hata pesa ya bando hajui naipata wapi.
Siku mita itasoma namba
 
Mkuu kulikoni!
 
Naunga mkono hoja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbele ya ushahidi sasa hajakuuliza huyo mtu unayechangia nae kanijuaje nimecheka sana
Ilikuja ikaisha.
Na urafiki uko kama kawaida.
Ila mie bora umbea wa kwenye simu, Pm HAPANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…