Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
- Thread starter
-
- #61
Neno "usaliti" lina maana maalum ndani ya chadema.Wasaliti ni hatari kwa chama; hao wengine watakuwaje hatari kwa chama na hawajakisaliti? Kuwasamehe hao kumi na tisa halafu mkawarudisha chamani mtakuwa mmekiua chama mwanzo mwisho!! Hao wanawake wamekula nyama ya mataga hawawezi kuacha!!!!
Neno "usaliti" lina maana maalum ndani ya chadema.
Unaifahamu na unadhani kuna usaliti umefanyika so far?
Kenge weweView attachment 1664064
Mnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM.
Juzi 29 Desemba 2020, Hilda Newton aliandika meseji ya twitter ifuatayo: "Aliyewaandikia Barua za rufaa Mzee Halima na wenzake Mungu anamuona yani maelezo yao wote yanafanana cha tofauto ni sahihi tu."
Anachosahau Hilda Newton ni kwamba, hata barua za tuhuma kwenda kwa kina Mdee zote zinafanana isipokuwa sahihi pekee!
Na hapo awali, Devotha Minja aliongoza maandamano ya kuilazimisha Kamati Kuu kuwafukuza kina Mdee. Maandamano hayo yalichukuliwa na kamera kama ifuatavyo:
Kwa hiyo sasa, BAWACHA imemeguka katika sehemu mbili: Bavicha ya Mdee na Bavicha ya kina Hilda. Hii maana yake ni kwamba, sasa Baraza Kuu linayo kazi ya ziada.
Linapaswa kuhakikisha kwamba BAWACHA inasimama kwa kutenda haki bila kuzingatia shinikizo lolote. Hoja zilizo katika rufaa ya kina Mdee ni nzito.
"Kuwabatiza majina mabaya kina Mdee, kama vile COVID19 na mengine hakusaidii kumaliza tatizo. Badala yake kunazidi kuongeza mpasuko ndani ya Chadema. Kwa hakika mie naona kuwa kina Hilda na Devotha ni hatari kuliko kinachoitwa covid19. Nashauri tangu sasa tuwaite kina Hilda na Devotha covid19+," alisema mwana Chadema mmoja kwenye kundi moja la whatsapp.
Nao wajumbe kadhaa katika kundi jingine la whatsapp wameonekana wakiandika maneno yanayofanana na hayo.
Mmoja anasema:
"Ninachojua kuna kina mama wa Bawacha walitaka kwenda Bungeni ila baada ya majina yao kutokuwemo kwenye list ya Halima, sasa hivi ndio vinara wa kushambulia waliokwenda kuapa kwa hoja eti wamesaliti chama."
Mwingine anaandika hivi:
"Ndio maan nasema haya mambo yaacheni tukutane nao kwenye vikao. Tutaelewana vizuri huko kwenye vikao. Hapa mtararuana bure. Haisaidii."
Mchangiaji wa tatu anasema:
"Katika suala ka kupeleka wabunge wa viti maalum Bawacha hhaikuwa na mpango wa kususia nawaambieni. Haya mengine tumshukuru Mungu nafasi zimekuwa chache. Wamegawanyika na hapo ndipo tulipoponea kama chama. Vinginevyo hawa akina Mama walikuwa wamoja before."
Hii maana yake ni kwamba, kelele za kina Hilda na Devotha ni kama kelele za sungura aliyesusa ndizi mbivu kwa kisingizio kwamba ni mbichi. Alikuwa ameshindwa kukwea na kuzifikia.
Baraza Kuu la Taifa la Chadema litapaswa kuyazingatia haya yote kusudu liweze kuwatendea haki covid19 bila kuwapendelea covid19+.
Kenge mkubwa wewe.Kenge wewe. Juzi ulipost humu maneno ya chuki dhidi ya CDM, Leo unajifa ya kuchochea mgogo ambao haupo. TISs mnafeli Sana awamu hii
Kama tuli au tuli hana bikra zoteHilda is still a kid ....
It's a case by case then, not as a group.Tayari katika hilo kundi kuna mfarakano mkubwa kwani baadhi wanataka sana kurudi kundini na kukubali makosa yao. Kwanini hawa wafungiwe mlango kabisa na ilhali wako tayari KUTUBU!? π³
Mbio zote hizo mpaka vumbi nizakutuletea umbea! Bilashaka na wewe ni miongoni mwao covid 19View attachment 1664064
Mnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM.
Juzi 29 Desemba 2020, Hilda Newton aliandika meseji ya twitter ifuatayo: "Aliyewaandikia Barua za rufaa Mzee Halima na wenzake Mungu anamuona yani maelezo yao wote yanafanana cha tofauto ni sahihi tu."
Anachosahau Hilda Newton ni kwamba, hata barua za tuhuma kwenda kwa kina Mdee zote zinafanana isipokuwa sahihi pekee!
Na hapo awali, Devotha Minja aliongoza maandamano ya kuilazimisha Kamati Kuu kuwafukuza kina Mdee. Maandamano hayo yalichukuliwa na kamera kama ifuatavyo:
Kwa hiyo sasa, BAWACHA imemeguka katika sehemu mbili: Bavicha ya Mdee na Bavicha ya kina Hilda. Hii maana yake ni kwamba, sasa Baraza Kuu linayo kazi ya ziada.
Linapaswa kuhakikisha kwamba BAWACHA inasimama kwa kutenda haki bila kuzingatia shinikizo lolote. Hoja zilizo katika rufaa ya kina Mdee ni nzito.
"Kuwabatiza majina mabaya kina Mdee, kama vile COVID19 na mengine hakusaidii kumaliza tatizo. Badala yake kunazidi kuongeza mpasuko ndani ya Chadema. Kwa hakika mie naona kuwa kina Hilda na Devotha ni hatari kuliko kinachoitwa covid19. Nashauri tangu sasa tuwaite kina Hilda na Devotha covid19+," alisema mwana Chadema mmoja kwenye kundi moja la whatsapp.
Nao wajumbe kadhaa katika kundi jingine la whatsapp wameonekana wakiandika maneno yanayofanana na hayo.
Mmoja anasema:
"Ninachojua kuna kina mama wa Bawacha walitaka kwenda Bungeni ila baada ya majina yao kutokuwemo kwenye list ya Halima, sasa hivi ndio vinara wa kushambulia waliokwenda kuapa kwa hoja eti wamesaliti chama."
Mwingine anaandika hivi:
"Ndio maan nasema haya mambo yaacheni tukutane nao kwenye vikao. Tutaelewana vizuri huko kwenye vikao. Hapa mtararuana bure. Haisaidii."
Mchangiaji wa tatu anasema:
"Katika suala ka kupeleka wabunge wa viti maalum Bawacha hhaikuwa na mpango wa kususia nawaambieni. Haya mengine tumshukuru Mungu nafasi zimekuwa chache. Wamegawanyika na hapo ndipo tulipoponea kama chama. Vinginevyo hawa akina Mama walikuwa wamoja before."
Hii maana yake ni kwamba, kelele za kina Hilda na Devotha ni kama kelele za sungura aliyesusa ndizi mbivu kwa kisingizio kwamba ni mbichi. Alikuwa ameshindwa kukwea na kuzifikia.
Baraza Kuu la Taifa la Chadema litapaswa kuyazingatia haya yote kusudu liweze kuwatendea haki covid19 bila kuwapendelea covid19+.
It's a case by case then, not as a group.
Inawezekana kabisa kati yao kuna walioingizwa mitini bila kujua kilichotokea.
Sijui kama yule wa mahabusu alijua chochote kabla ya kufikishwa Bungeni. Lakini kwa mtu kama Halima Mdee?? Nitashangaa sana kama nilivyoshangaa baada ya kusikia huyu binti kalubuniwa. Ni vigumu sana kuelewa kilichompata hadi wakati huu niandikapo hapa.
Huenda akieleza kilichomtokea na kufikia huku alikofika..., hata sijui kama huyu na hard core wenzake wanasameheka!
Hawapaswi hata kupewa nafasi nyingine, wamekisaliti chama wakati ambao chama kikiwahitaji, wananchi walitegemea kuwaona wanasimama nao kwa hali na mali, na mbaya zaidi wamesaliti wakati ambao watu wana maumivu ya matokeo ya uchaguzi,watu wamepoteza maisha kwa sababu yao na watu wamefanya kila aina ya sacrifice ili kuhakikisha chadema inasimama, No second Chance, misingi na misimamo ya chama iheshimiwe, wao sio wa kwanza kufukuzwa na hawatakuwa wa mwisho, chadema bado itaendelea kuwa strongNow youβre talking Mkuu. That was my point that some in this group should be given another chance if they are ready to accept their mistakes. Even Mdee she was very loyal to the party and his leaders for so long. She can be under probation letβs say for 24 months.
Hawapaswi hata kupewa nafasi nyingine, wamekisaliti chama wakati ambao chama kikiwahitaji, wananchi walitegemea kuwaona wanasimama nao kwa hali na mali, na mbaya zaidi wamesaliti wakati ambao watu wana maumivu ya matokeo ya uchaguzi,watu wamepoteza maisha kwa sababu yao na watu wamefanya kila aina ya sacrifice ili kuhakikisha chadema inasimama, No second Chance, misingi na misimamo ya chama iheshimiwe, wao sio wa kwanza kufukuzwa na hawatakuwa wa mwisho, chadema bado itaendelea kuwa strong
Msamaha ni jambo zuri sana, lakini hapa tuangalie maslahi mapana ya Taifa pamoja na Chama, akina Halima waliweka maslahi yao mbele na sio maslahi ya chamaMtende sawa ila mimi naamini mtu anapokosa na baadaye kuonyesha kujutia makosa yake na kuwa tayari kutubu uso kwa uso kujieleza basi sioni tatizo la mkosaji kusamehewa pamoja na ukubwa wa kosa husika.[emoji1422][emoji1422][emoji1422][emoji1421][emoji1421][emoji1421]
Msamaha ni jambo zuri sana, lakini hapa tuangalie maslahi mapana ya Taifa pamoja na Chama, akina Halima waliweka maslahi yao mbele na sio maslahi ya chama
Ina maana hawawezi kuvumilia maisha ya uanachama wa kawaida na mapambano nje ya bunge?
Na kwa nini hawakusubiri ridhaa ya chama? Hii sio ndoa BAK useme tusameheane tulee watoto
Wananchi wenye imani na chadema walipata faraja baada ya chama kuchukua hatua za kuwafukuza akina halima la sivyo hata mimi singekua na imani tena na chadema
Halafu, kilichonihuzunisha ni kwamba Bulaya alikana mpaka mwisho, mipango yote ya usaliti wameifanya kwa siri na wameshirikiana na watesi wa wapinzani
Ndugai keeps attacking Mbowe and Chadema kwa sababu anapata nguvu kutoka kwa hao covid 19, mateso ambayo chadema imepitia kwenye utawala huu yametokana na ccm, sikutegemea kabisa kama mwanachama mwenye akili anaweza kuungana na watesi for her personal gain, akina halima wametesqa na utawala huu lakini wamepata nguvu ya kuungana nao kwa sababu wanataka pesa za ubunge
Hawafai kuwa viongozi wa chadema na hawaaminiki, who knows, labda watasamehewa halafu next year watapanda dau tena, chadema isilambe matapishi, isonge mbele na wale ambao wako tayari kukipigania chama kabla ya maslahi yao binafsi
Wewe hua huna mme mbona una washwa washwa sana?View attachment 1664064
Mnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM.
Juzi 29 Desemba 2020, Hilda Newton aliandika meseji ya twitter ifuatayo: "Aliyewaandikia Barua za rufaa Mzee Halima na wenzake Mungu anamuona yani maelezo yao wote yanafanana cha tofauto ni sahihi tu."
Anachosahau Hilda Newton ni kwamba, hata barua za tuhuma kwenda kwa kina Mdee zote zinafanana isipokuwa sahihi pekee!
Na hapo awali, Devotha Minja aliongoza maandamano ya kuilazimisha Kamati Kuu kuwafukuza kina Mdee. Maandamano hayo yalichukuliwa na kamera kama ifuatavyo:
Kwa hiyo sasa, BAWACHA imemeguka katika sehemu mbili: Bavicha ya Mdee na Bavicha ya kina Hilda. Hii maana yake ni kwamba, sasa Baraza Kuu linayo kazi ya ziada.
Linapaswa kuhakikisha kwamba BAWACHA inasimama kwa kutenda haki bila kuzingatia shinikizo lolote. Hoja zilizo katika rufaa ya kina Mdee ni nzito.
"Kuwabatiza majina mabaya kina Mdee, kama vile COVID19 na mengine hakusaidii kumaliza tatizo. Badala yake kunazidi kuongeza mpasuko ndani ya Chadema. Kwa hakika mie naona kuwa kina Hilda na Devotha ni hatari kuliko kinachoitwa covid19. Nashauri tangu sasa tuwaite kina Hilda na Devotha covid19+," alisema mwana Chadema mmoja kwenye kundi moja la whatsapp.
Nao wajumbe kadhaa katika kundi jingine la whatsapp wameonekana wakiandika maneno yanayofanana na hayo.
Mmoja anasema:
"Ninachojua kuna kina mama wa Bawacha walitaka kwenda Bungeni ila baada ya majina yao kutokuwemo kwenye list ya Halima, sasa hivi ndio vinara wa kushambulia waliokwenda kuapa kwa hoja eti wamesaliti chama."
Mwingine anaandika hivi:
"Ndio maan nasema haya mambo yaacheni tukutane nao kwenye vikao. Tutaelewana vizuri huko kwenye vikao. Hapa mtararuana bure. Haisaidii."
Mchangiaji wa tatu anasema:
"Katika suala ka kupeleka wabunge wa viti maalum Bawacha hhaikuwa na mpango wa kususia nawaambieni. Haya mengine tumshukuru Mungu nafasi zimekuwa chache. Wamegawanyika na hapo ndipo tulipoponea kama chama. Vinginevyo hawa akina Mama walikuwa wamoja before."
Hii maana yake ni kwamba, kelele za kina Hilda na Devotha ni kama kelele za sungura aliyesusa ndizi mbivu kwa kisingizio kwamba ni mbichi. Alikuwa ameshindwa kukwea na kuzifikia.
Baraza Kuu la Taifa la Chadema litapaswa kuyazingatia haya yote kusudu liweze kuwatendea haki covid19 bila kuwapendelea covid19+.
Nakubaliana na wewe. Kama ilivyokuwa kwa wakina Kubenea.Mtende sawa ila mimi naamini mtu anapokosa na baadaye kuonyesha kujutia makosa yake na kuwa tayari kutubu uso kwa uso kujieleza basi sioni tatizo la mkosaji kusamehewa pamoja na ukubwa wa kosa husika.βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½βπ½
View attachment 1664064
Mnyukano wa kugombania madaraka ndani ya Chadema sasa umethibitika. Tayari Hilda Newton na Devotha Minja wameanza kukinyemelea kiti cha Halima Mdee Bawacha. Wanafanya kila mbinu kuhakikisha kwamba Mdee na wenzake hawarudi. Wanatumia nguvu kubwa kupamba na kundi la kina Mdee kuliko nguvu ambayo imewahi kutumika kupambana na chama tawala cha CCM.
Juzi 29 Desemba 2020, Hilda Newton aliandika meseji ya twitter ifuatayo: "Aliyewaandikia Barua za rufaa Mzee Halima na wenzake Mungu anamuona yani maelezo yao wote yanafanana cha tofauto ni sahihi tu."
Anachosahau Hilda Newton ni kwamba, hata barua za tuhuma kwenda kwa kina Mdee zote zinafanana isipokuwa sahihi pekee!
Na hapo awali, Devotha Minja aliongoza maandamano ya kuilazimisha Kamati Kuu kuwafukuza kina Mdee. Maandamano hayo yalichukuliwa na kamera kama ifuatavyo:
Kwa hiyo sasa, BAWACHA imemeguka katika sehemu mbili: Bavicha ya Mdee na Bavicha ya kina Hilda. Hii maana yake ni kwamba, sasa Baraza Kuu linayo kazi ya ziada.
Linapaswa kuhakikisha kwamba BAWACHA inasimama kwa kutenda haki bila kuzingatia shinikizo lolote. Hoja zilizo katika rufaa ya kina Mdee ni nzito.
"Kuwabatiza majina mabaya kina Mdee, kama vile COVID19 na mengine hakusaidii kumaliza tatizo. Badala yake kunazidi kuongeza mpasuko ndani ya Chadema. Kwa hakika mie naona kuwa kina Hilda na Devotha ni hatari kuliko kinachoitwa covid19. Nashauri tangu sasa tuwaite kina Hilda na Devotha covid19+," alisema mwana Chadema mmoja kwenye kundi moja la whatsapp.
Nao wajumbe kadhaa katika kundi jingine la whatsapp wameonekana wakiandika maneno yanayofanana na hayo.
Mmoja anasema:
"Ninachojua kuna kina mama wa Bawacha walitaka kwenda Bungeni ila baada ya majina yao kutokuwemo kwenye list ya Halima, sasa hivi ndio vinara wa kushambulia waliokwenda kuapa kwa hoja eti wamesaliti chama."
Mwingine anaandika hivi:
"Ndio maan nasema haya mambo yaacheni tukutane nao kwenye vikao. Tutaelewana vizuri huko kwenye vikao. Hapa mtararuana bure. Haisaidii."
Mchangiaji wa tatu anasema:
"Katika suala ka kupeleka wabunge wa viti maalum Bawacha hhaikuwa na mpango wa kususia nawaambieni. Haya mengine tumshukuru Mungu nafasi zimekuwa chache. Wamegawanyika na hapo ndipo tulipoponea kama chama. Vinginevyo hawa akina Mama walikuwa wamoja before."
Hii maana yake ni kwamba, kelele za kina Hilda na Devotha ni kama kelele za sungura aliyesusa ndizi mbivu kwa kisingizio kwamba ni mbichi. Alikuwa ameshindwa kukwea na kuzifikia.
Baraza Kuu la Taifa la Chadema litapaswa kuyazingatia haya yote kusudu liweze kuwatendea haki covid19 bila kuwapendelea covid19+.
Wacha upambe-hewa.Afadhali ya Covid19.
Lakini hao kina Hilda na Devotha ambao ni covid19+ ni hatari zaidi
Wasaliti huwa hawakai kwenye hilo li-chama.Bora kwenye machama mengine!!!Nimesoma historia,siyo mimi lakini.Mkuu tusiwafungie mlango hawa wasaliti kama watakuwa tayari kuomba msamaha na pia kuikana rushwa ya viti maalum walivyohongwa na maccm, vinginevyo ni wa KUFUKUZA TU hawa.