Kinachoendelea Msumbiji, magaidi na Jeshi - Part 3

Hiyo mbinu ya Winning hearts and Mind strategy ina fanikiwa vipi wakati jamii ina fahamu matatizo yote hayo yana sabibshwa na kikundi hicho ndio maana serikali imeingia vitani kuwaondoa
Kwenye picha pale inayohusu winning hearts and mind strategy kuna jamaa hapo kashika msahafu af kiunoni anabunduki anatoa Mahubiri huku wananchi wakimsikiliza kwa makini.

Hapo inaonesha ilitumika dini kurainisha mioyo ya hao raia.

Km unavyojua wenzetu linapokuja suala la dini akili zao huwa wanaachana nazo.
 
Hawa magaidi si waislamu?
 
Ile Cabo Delgado na Niassa ni sehemu ya Tanganyika, Tanganyika ilipoteza hayo maeneo kutokana na vita ya dunia. Baadae ilitokea machafuko huko Msumbiji ikabidi Nyerere afanye jambo sasa hapo ndio ilikuwa nafasi nzuri ya kurudisha hayo maeneo. Ile kaskazini mwa Msumbiji ni sehemu halali ya Tanganyika.
 
Watanzania wengi wanatoa Maoni yao kwa mihemko tu ya kisiasa kuhusiana na suala hili la Mgogoro wa huko Msumbiji bila ya kuzingatia ukweli, faida na hasara za Mgogoro wenyewe.
 
Mwaka fulani sikumbuki vizuri nadhani ni 2020 nikiwa maeneo ya Mbagala walipita JW wengi sana wakiwa kwenye magari yao na silaha nzito nzito kweli pamoja na vifaa vya kazi vikiwa vimefunikwa kwa maturubai wakielekea huko kusini. Watu wote tulibaki kutizama huo msafara, jamaa walikuwa wengi mno, nadhani ndio walio enda kuweka kambi huko mpakani mwa Msumbiji.
 
JW,TISS mnafanya kazi kubwa sanaa kutulinda heko kwenu.
Natamani Looting Departmentyo iwe hai kisawasawa. PK ameiwezesha RDF; Kwa sasa RDF ni kama mgambo kwa makampuni ya Wazungu. Kuna mageuzi makubwa sana ktk kupata na ulinzi wa rasilimali zao huku Afrika.
Kwa hali ilivyo Afrika inaweza kuwa bara la migogoro kwa karne nyingi mbele; na mataifa yenye rasilimali zaidi ndio yapo hatarini zaidi.
 
Kuna sehemu historia imekupita. tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya ukombozi nchi nyingi na wanaharakati ila kenya na ukibaraka wake alitumiwa sana kumuhujumu tanzania .kama utakumbuka kulishawai kutokea ugaidi kipindi tuan wasaidia south afrika kupata uhuru
 
Mzee sisi wengine bado tunaishi along Kilwa road mpaka leo, hayaa mambo wewe ulioyaona 2020 sis mpaka leo tunayaona.
Tunaona wakienda tunawaona wakirud. Tunawaona wakienda tena. Kwakifupi huko kusin kuko busy sanaa
 
Hapa nimelowa huwa napenda kuçhangia mada za migogoro zihusuzo mataifa mengine ila kwa nyumbani sipendi wala sitaki mabaya yatufike.

M naamini Tanzanians tuko very smart na hakuna wa kutuzidi EA. Kuanziaintelligence,mbinu,vifaa,morali kwa wanajeshi wetu Iko juu.
 
Mzee sisi wengine bado tunaishi along Kilwa road mpaka leo, hayaa mambo wewe ulioyaona 2020 sis mpaka leo tunayaona.
Tunaona wakienda tunawaona wakirud. Tunawaona wakienda tena. Kwakifupi huko kusin kuko busy sanaa
Mwezi March nilienda Mtwara kupitia Ruvuma ukifika Tunduru kuna ukaguzi wa vitambulisho na ukiwa unaingia au kutoka Mtwara kulikuwa na ukaguzi wa vitambulisho japo wenyeji walidai huwa inatokea Mara moja moja Kama kuna tishio la magaidi kuvuka boda.
 
Mwezi March nilienda Mtwara kupitia Ruvuma ukifika Tunduru kuna ukaguzi wa vitambulisho na ukiwa unaingia au kutoka Mtwara kulikuwa na ukaguzi wa vitambulisho japo wenyeji walidai huwa inatokea Mara moja moja Kama kuna tishio la magaidi kuvuka boda.
Tuko vizuri hakuna kucheka na kima yaaani mpaka natamani watumie machine zile za kuulia tembo( ikiingia kama sindao ila inapotokea inaacha uwanja).

Hakuna kuwaonea huruma kabisa.
 
Tuko vizuri hakuna kucheka na kima yaaani mpaka natamani watumie machine zile za kuulia tembo( ikiingia kama sindao ila inapotokea inaacha uwanja).

Hakuna kuwaonea huruma kabisa.
Hata wananchi nao wanapaswa kuwa wamoja kwenye mapambano ya namna hii wananchi wanapaswa kuwa jicho la kwanza hawa wahuni huwa wanajifcha kwenye jamii hasa sponsors wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…