Mfano mission ya kupambana na ugaidi Somalia imeinufaisha Kenya?
Kenya imepoteza mapato kiasi gani kutokana na kukosa watalii. Ile hasara haileti justification ya kupokea hizo hela. Wanajeshi wangapi wamekufa, zana ngapi zimeteketea, mashambulizi mangapi ya kigaidi yametokea.
Unaielewa opportunity cost kweli, wewe unalinganisha mission ya kuzuia mapinduzi Anjouan au Haiti ikiisha imeisha dhidi ya mission ya kupambana na ugaidi ambao ukiwakimbiza wanatafuta kulipiza kisasi hata mtaani kwa raia. Unadhani gharama za kupambana na ugaidi ni zile za mafuta, silaha na mishahara tu? Nani alilipia shambulizi la Westgate, Garissa na mengine.
Hela za kulipia wanajeshi walinda amani (ambao hata 1000 hawafiki) unaona ni muhimu kuliko hela za makumi elfu ya watalii wanaokuja kwa amani. Kenya hapo mahoteli yalifungwa, flights zikapungua, NGOs na aid workers wakaondoka. Kama hata Msumbiji na umaskini wote inaweza dhamini mission ya Rwanda au Tanzania hiyo mission haiingizi hela nyingi kama unavyodhani, kwanza mapato yake hayaonekani. Utalii unaingiza hela nyingi sana bila consequences za milipuko ya kujitoa mhanga.
Ukiwaambia Msumbiji walipie hata 20% ya mapato yetu ya utalii hawawezi. Ila ukiingia uko kichwakichwa kwa dharau kama Kenya walivyoingia Somalia, mambo yakigeuka soon unapoteza hata 30% ya sekta ya utalii. Calculations