Kinachoendelea Sri Lanka, Tanzania tushukuru kuwa na Rais Samia

Ogopa sana taifa ambalo lenye bora kiongozi na sio kiongozi bora. Rais wa Sri Lanka alikua bora kiongozi, yeye alikuwa anafanya mambo kuwafurahisha wananchi bila kuangalia madhara yake hapo mbelen...
Kipindi hiki wamejitokeza majuha wengi sana,maana walishaona kusifia Ni njia moja ya kupata uteuzi.
 
Ni lini nchi hii iliwahi kuwa kwenye hatari yoyote chini ya uongozi wa rais yeyote? punguza ushabiki!
Chini ya Mwendazake Nchinilokuwa kwenye balaa kubwa la kiuchumi..

Kama Takwimu hutaki kuzikubali huwezi tumia akili yako ndogo kufikiria kwamba kwa nini Mwendazake alizuia kutoa Takwimu za Uchumi tofauti na za kwake?

Huwezi hata kufikiria kidogo kwamba Rais Samia answezaje kisukuma sekta zote za Uchumi zikiwemo zile zilizotelrkezwa na Mwendazake kwa visingizio vya kujenga sgr kama ajira,salaries,kilimo,maji nk?
 
Ogopa sana taifa ambalo lenye bora kiongozi na sio kiongozi bora. Rais wa Sri Lanka alikua bora kiongozi, yeye alikuwa anafanya mambo kuwafurahisha wananchi bila kuangalia madhara yake hapo mbeleni...
Serious kwa madudu yote,anayofanya,unamsifia?

Hii ndio huwa tunaita stockolm syndrome,anayekutesa,unafikia point unakuwa unamuona kama mwema na anakupenda sana.

Ni kama mbakwaji,kumpenda mbakaji,
 
Samia anahamasisha ufisadi katika serikali yake,anapaswa ang'olewe fasta sana
Your browser is not able to display this video.
 
Serious kwa madudu yote,anayofanya,unamsifia?

Hii ndio huwa tunaita stockolm syndrome,anayekutesa,unafikia point unakuwa unamuona kama mwema na anakupenda sana.

Ni kama mbakwaji,kumpenda mbakaji,
Si kweli unavyosema. Rais Samia anafanya kazi kubwa sana kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.
 
Kwa mwendo huu ilikuwa lazma familia ikimbie Ikulu😂😂😂!

Bado zamu ya ile Miungu ya CCM utatu wa kikafiri, Msoga Jazz Band, Marope, Millet Mp
 
Wapi imeandikwa ni kosa kumsifia mtu anapofanya kazi nzuri? acheni chuki binafsi, mama anafanya kazi na huu ndio ukweli.
Tunatambua uko UVCCM na unatokea kaya yenye dhiki ila sometime kabla hujaandika utumbo hebu ona aibu kwa watu wazima walioko humu
 
Hv mizombi kama hii isiyojielewa huwa inatokea wp!!!?
limevaa ushungu utafikiri kichwa cha jogoo
kumbaf kabisa!
 
Tunatambua uko UVCCM na unatokea kaya yenye dhiki ila sometime kabla hujaandika utumbo hebu ona aibu kwa watu wazima walioko humu
Shida yenu mnadhani kila anayesifia anatokea chama tawala.
 
Umefail kushawishi watu ili wakuelewe kuwa mama ako anafanya kazi nzr, watu hawakuelewi na hawatakuelewa labda uje na mada ingine
 
Nipigeni maweni mpendavyo lkn yule bwana angelikuwepo mapema sana angelisha tusrilanka. God is great
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…