Kinachoendelea Sri Lanka, Tanzania tushukuru kuwa na Rais Samia

Ogopa sana taifa ambalo lenye bora kiongozi na sio kiongozi bora. Rais wa Sri Lanka alikua bora kiongozi, yeye alikuwa anafanya mambo kuwafurahisha wananchi bila kuangalia madhara yake hapo mbeleni.
Nimesoma mistari mi 5 tu nikagundua unajistukia kuwa yanaweza kumkuta samia kama hayo ya sri lanka
 
Mtu kafa hamumu achi ndiyo kawa gauge ya kupimia utendaji wa Marais eti angekuwapo uchumi ungeharibika kuliko leo:sisi akili hatuna;
 
Mtu kafa hamumu achi ndiyo kawa gauge ya kupimia utendaji wa Marais eti angekuwapo uchumi ungeharibika kuliko leo:sisi akili hatuna;
Kufa sio kigezo maana aliharibu sana na Wafuasi wake wanajaribu kumfanya kuwa gage ya uongozi sasa lazima kuweka mizania sawa..

Yeye as an individual kafa ila matendo yake na tabia zake aliziambukiza kwa watu so lazima atajadiliwa kwa mbaya na Kwa mazuri.
 
Asante kwa kunihukumu kuwa na akili ndogo...sijali....wenye akili kubwea kama wewe huwa hawaendeshwi na hisia bali takwimu na ushahidi....haya lete takwimu zako za uchumi kudorola ili "kuzodoa" zile za Hayati Magufuli...na maanisha leat ushahidi wa takwimu kuonesha kuwa Magufuli alikuwa anadanganya kuhusu takwimu za ukuaji wa uchumi!
 
Mimi sio wewe,kama unajua kusoma basi tupe jibu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-202202.png
    63.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220628-202311.png
    63.7 KB · Views: 6
Mimi sio wewe,kama unajua kusoma basi tupe jibu hapa 👇
Ni kweli mimi sio wewe... mzigo wa kuthibitisha tuhuma uko kwa nayetuhumu, wewe ndio unatuhumu kuwa uchumi ulishuka wakati wa Magufuli na hapa umeonesha kushuka na kupanda kwa matumizi ya cement...sasa vipi tena mimi ndio nilete jibu! wewe uliyeleta ushahidi ndio unapaswa kuonesha ukweli wa ushahidi huo, vipi bwana akili kubwa!
 
Hii nchi imepata pigo sana kupata uyu mtu kuna hatri mwkaa huu bei za vyakula ikawa juu kuliko vipindi vyotee nilivyowahi kushuhudia maishani mwangu maana kama kipindi ichi cha mavuno Ila bado bei za vyakula haijatulia basi kuna hatari sana Aya mambo ya kuendeleza majirani ili kufanya nawwo biashara itatuumiza snaa Kwa Hali ilvyo ni kama raisi hajali shida na malalamiko ya wananchi wake, Kasi ya kukopa imekuwa kubwa kuliko kawaida yeye na magufuli wamekopa sana kuna hatri kubwa mbeleni Ila sema ndyo ivyo wlaamba asali wanampanba kichwa
 
Wewe ni kajinga,nimekupa ushahidi ,una lingine la kuuliza?

Ndugu yako yule si alisema ameacha kuajiri na kupandisha madaraja,kafukuza watumishi nk kwa visingizio vya kujenga sgr naadaraja ,vipi saizi iwezekane kujengwa vyote hivyo na ajira juu?
 
MATAHIRA KAMA WEWE KATIKA TAIFA LETU MNAPASWA KUUAWA
 
Wewe ni kajinga,nimekupa ushahidi ,una lingine la kuuliza?

Ndugu yako yule si alisema ameacha kuajiri na kupandisha madaraja,kafukuza watumishi nk kwa visingizio vya kujenga sgr naadaraja ,vipi saizi iwezekane kujengwa vyote hivyo na ajira juu?
Pole sana ndugu akili kubwa kwa kupunguzwa kwa utumishi hewa! hakuna ushahidi ulioleta wa kuthibitisha kuwa takwimu zinaonesha uchumi ulidorola wakati wa kipindi cha mwendazake, ulichoambatanisha ni takwimu za wafanyabiashara ya cement! sio uchumi kwa ujumla..mimi nilifikiri kwa akili yako kubwa ungeleta takwimu za World Bank au IMF !
 
Wewe ni kiazi WA kienyeji huko Usukumani..

Hicho nilichokwambia na kuonyesha ni mavi yako sio Takwimu?

Kwa hiyo walioandika hizo Takwimu ni mimi au? Stupid,najichosha kujadiliana na mpumbavu mwenye chuki ambae hayuko tayari ku face uhalisia..

Kwa taarifa yako mtaendelea kuaibishwa kila siku,mwaka mmja wa ssh amefunika miaka 5 ya Mwendazake..
 
Asante kwa kuleta CV yako....ni kama umejiangalia kwenye kioo uliyoandika hapa yana reflect ulivyo....nashukuru kwa kunipunguzia muda wa kubishana na nawe mwenye chuki na hasira za kuondolewa kazini kwa kugushi vyeti!
 
Wenye akili tunamuelewa sana Samia, wanaolalamika Ni wafuasi wa mwendazake wasio na akili
 
Sijaona point ya maana hapo Zaidi ya kushukuru, Afu pili maelezo yako yanaonyesha Tanzania imewahi kupitia bora kiongozi hapo nyuma?![emoji848] Kuwa makini na uhakika wa kile ukisemacho, na hakikisha unaweza kujibu ndani ya kile unachokieleza kwa Umma pindi ukikutana na MTU wa atakaye hoji juu ya hoja zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…