Kinachoendelea Sri Lanka, Tanzania tushukuru kuwa na Rais Samia

Una matatizo ya akili wewe
 
Mkuu
Nimejizuia Sana nisikutukane!!umenikera Sana we Jamaa!!
Unamshukuru huyu mwanamke KWA lipi!!?kwa kuua wamasai au!!?
 
Kilembwe muulize huyo kijana habari ya uchumi wa Kati,
 
Nonsense. Kinachoendela srilanka hata hapa bongo ni suala la wakati tu. Waache wakina hangaya waendelee kulamba sukari na kula kwa urefu wa kamba zao.
 
Mungu akusamehe mtoa mada kwa kupotosha wanajf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…