Kinachoendelea Twitter (X) kuhusu maoni ya watu juu ya Waraka wa TEC ni upuuzi mtupu

Dah! Mkuu una Library ya vioja vya nchi hii wewe!

Umenikumbusha ishu ya Kakobe, nilikuwa stressed hadi nimejikuta nacheka sana.

Halafu Kakobe alivyo mjanja, alikuja kumsifia Magufuli kiaina, basi hapo hapo yakaisha!

Enhe na la kupimana mikojo unalikumbuka?
 

nape kapaniki huko
 
Kataa utapeli ,kataa udini ,kataa waabudu binadamu wenzao.

Kataa wakwepa kodi pale bandari kwa mlengo wa dini.

Kataa wanaume wasiotaka kuoa hao waumini mngewapataje ,kama sio kukosa akili?

Kataa wapitisha Silaha kwa kivuli cha dini?

Kataa utapeli kabisa serikali haina dini.!!
 

[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Kitu kikubwa cha kuogofya ni UNAFIKI NA UZANDIKI wa BARAZA kutoa waraka wenye nia ya kugonganisha na kuchonganisha.

LENGO LA WARQKA WA TEC sio maoni bali ni kuzua taharuki miongoni mwa Jamii.

TEC ni chombo cha kanisa hivyo tukiruhusu kanisa au msikiti kutoa matamko kwenye masuala ya kisiasa ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu.

Leo waraka umetolewa na TEC, kesho watatoa BAKWATA kutetea kitakacho fuata ni malumbano ya KIDINI.


MIMI NI RC lakini sikubaliani na njia waliyo itumia TEC.

Vikiibuka vita vya kidini hakuna atakaye pona, tusifike huko lakini TEC wanataka kutufikisha huko....hii ni hatari tusiichekelea kwani hakuna atakaye pona
 
Nacho kupendea mkuu unatembea na maktaba, una kumbu kumbu zote yaani!
Wajitokeze wajibu hoja hii sasa!

Halafu anayewatuma nadhani anashinda mitandaoni kufuatilia kazi aliyozituma misukule zake zimfanyie!

Maana mimi sioni mantiki ya msingi inayoleta chanzo cha mgogoro wa kidini, isipokuwa watu wanarukia matawi bila kuanzia kwenye shina.

Watueleze ni nani huyo anayepinga uislam?

Yaani watetezi wa maslahi ya nchi, leo wanageuzwa kuwa ni wapinga uislam!

Tuna safari ndefu sana waTz hasa genge la mibaka uchumi kutumia upumbafu wa wajinga kama mtaji.
 
Chawa yupo kazini😂😂😂
 
 
Tuna safari ndefu sana waTz hasa genge la mibaka uchumi kutumia upumbafu wa wajinga kama mtaji[emoji419][emoji375]
 
Dawa imepulizwa nchi nzima juzi sasa hiv mende wanatoka kila tundu.
 

Tatizo la low reasoning capacity ni la muda mrefu sana na serikal imekuwa iki ignore hili tatizo kiasi kwamba limekuwa normalized.

Hii migogoro ya nchi ndio ime shed light how deeply hili tatizo limeenda
 
Dawa imepulizwa nchi nzima juzi sasa hiv mende wanatoka kila tundu.
Msome huyu anavyotumia nguvu nyingi kupotosha

Sheikh Mussa Juma amesema Wapinzani na Maaskofu wanaomsaka Rais Samia Suluhu Hassan hawana shukrani wanaendekeza Udini na maslahi yao binafsi nakusahau hisani waliyowafanyia kipindi walipokuwa hawana kitu.

Akizungumza huko visiwani Zanzibar katika mawaidha Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni kiongozi wenye huruma na uadilifu ndani yake hivyo wanaomsakama wanafanya hivyo kwa maslahi yao binafsi.

"Hapa kwetu ndio kabisa madudu haya ya kisiasa sijui wakina Mbowe kina Lissu waliyoyaficha ndani ya mioyo yao yalikuwa ni makubwa zaidi kuliko wanayoyadhihirisha, angalia sasa hivi wanavyotapika maneno yale angalia ni udini tu ule, kama huyo Dkt. Slaa yeye ndio kamaliza mchezo mmemsikia mwenyewe Udini tu ule hakuna kitu kingine Udini tu..sasa yale ndio yaliyokuwa yamejificha hawana shukrani hata kidogo" alisema

Sheikh Mussa Juma amesema Rais Samia ni mtu mwenye imani wanaomuanda wanapaswa kumshukuru na kumheshimu kutokana nakuwafanyia hisani kwa kuwarejeshea vitu vyao walivyopoteza kipindi cha awamu ya Tano.

"Alikuwepo Magufuli kawanyongesha watu, kawaadhibu watu, kawatesa watu hawana hatia wamenyamaza kimya, Mwenyezi Mungu kafanya Rehema zake katuletea mtu ana imani watu wanaishi kwa raha , watu wanapendana, wanasaidiana, mnyonge anasaidiwa leo hawa wakina Mbowe, Lissu hawana Shukrani mtu kama huyo alowafanyia hisani kama huyu Lissu alipofanyiwa mambo mazito mtu wa kwanza kwenda kumtizama ni Rais Samia wale waliobakia wote maaskofu ambao sasa hivi ndio wanamtukana Samia kwa sababu ya uislamu hakuna kingine na maslahi yao waliyokuwa wanaipata kwenye ile bandari wanamsaka hawana shukrani wote hao maaskofu walikuwa wameufyata wanamuogopa Magufuli , lakini tazama alichomfanya Rais Samia kamlipa kila kitu chake kamrejeshea ambavyo alikuwa kanyang'anywa na huyo Mbowe hivyo hivyo kila kitu chake karejeshewa kalipwa pesa chungu mzima ambazo zingewasaidia wananchi , Rais Samia anaonyesha huruma kwa rai wake alafu hawa wanakuja juu wanamtukana na kumkashifu kwa maslahi yetu wenyewe sisi wananchi lakini kwa sababu wao kuna maslahi yao ya dini pale wanahisi atakuja kuondoka , pamoja na maslahi yao walikuwa wanapitisha vitu pale...." alisema Sheikh huyo

Pamoja na yote Sheikh Mussa dunia ilipofikia sasa mambo mema yanaonekana mabaya huku mabaya yakionekana mema hata hivyo amemuomba Rais Samia aendelee kuishi maisha marefu kutokana na uadilifu na huruma alionao katika uongozi wake.

"Mbona mambo sasa hivi yanaanza kuchimbuka yaliyokuwa yamejificha na sisi ndio tunayasubiri kwa hamu kwa sababu tulipokuwa tunasema nyinyi mlituona sisi wabaya lakini sasa hivi Mwenyezi Mungu anayachimbua, mmemsikia Slaa alivyosema nyie waislamu mmekaa tu mmemsikia na uislamu wenu mnasikia wanavyomfanyia muislamu mwenzenu wanavyomwandama, wanaranda kwenye mikoa kwa kutumia pesa hizi hizi wanazopewa zetu wenyewe kama rai wanamsakama Mhe. Rais Samia lakini Mwenyezi Mungu atamuhifadhi, atamlinda na shari zao ataendeleza uadilifu, ni Rais pekee aliyekuwa hana mfano na waliyokuwa wamepita mwenye huruma mpaka na vilema tunamuombea dua na tutazidi kumuombea sasa kama wewe unanuna nuna"_ Sheikh Mussa Juma akizungumza msikitini Zanzibar
 
Mi hata cnaga muda wa kuwasoma hawa jamaa ni zero brain. Waje wapinge kwa vifungu basi wao shida yao ni maaskofu kuandika
 
Mwijaku, Kitenge wamelaaniwa
 
Kwenye ukweli nuru hutawala.
Penye kasoro giza hunyemelea.
Ni suala la muda tu Mungu atatupa majibu ya kinachoendelea.
Yeyote aliyekula kiapo atende kadri ya kiapo chake.
Wananchi tumlilie Mungu kwani yupo na anatenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…