RAI! RAI! RAI!Wewe si wakala wao hapa JF?
Nape yupo sahihi.Wekeni ushahidi,na kama msipoweka basi ni nyinyi ndiyo wakurupukaji.View attachment 2723618
nape kapaniki huko
Tanzania inaongoza Kwa kua na watu wajinga yaani TAHIRA kama huyu anasema tukatae udini serikali haina Dini kisa kanisa katoliki limepinga madudu ya serikali yenu kuuza bandari... Halafu unaoinga udini Kwa kutumia reference za udini kisa huo upande unasapoti madudu... Kwahiyo hao Mitume Hewa wanaounga huo ushudabwa sio UDINI?... Kenge weweKataa utapeli ,kataa udini ,kataa waabudu binadamu wenzao.
Kataa wakwepa kodi pale bandari kwa mlengo wa dini.
Kataa wanaume wasiotaka kuoa hao waumini mngewapataje ,kama sio kukosa akili?
Kataa wapitisha Silaha kwa kivuli cha dini?
Kataa utapeli kabisa serikali haina dini.!!
View attachment 2723615View attachment 2723616
Tanzania inaongoza Kwa kua na watu wajinga yaani TAHIRA kama huyu anasema tukatae udini serikali haina Dini kisa kanisa katoliki limepinga madudu ya serikali yenu kuuza bandari... Halafu unaoinga udini Kwa kutumia reference za udini kisa huo upande unasapoti madudu... Kwahiyo hao Mitume Hewa wanaounga huo ushudabwa sio UDINI?... Kenge wewe
Kwann upinge udini Kwa kutumia reference ya udini? Hayo ndo maendeleo unayozungumzia?Haijalishi wamepinga au wamesapot katika dira ya nchi matamko yao hayana nafsi ...Hakuna mda wa kusikiliza wajinga kama wewe na washamba wengine ,tunaangalia maendeleo.
Ujinga wenu nyie waumini mara mnakuja na vitisho sijui kanisa lina nguvu ili kutetea maoni yao ,kama mna nguvu huko kwenu na hakuna kitu mtafanya.!!
Baki Kijiji kwenu kwanza unaijua hata bandari ?
Nafikria haufuatilii nyuzi nyingi hao jmaa zako hawajibu hoja zaidi ya vitisho.Kwann upinge udini Kwa kutumia reference ya udini? Hayo ndo maendeleo unayozungumzia?
Hoja yangu ni moja kwanini watu wa walio Chini ya taasisi ya dini wakipinga huo mkataba unakua udini lakini wale wanaounga wanaonekana wako Sawa? Kwann na huo usiwe udini?Nafikria haufuatilii nyuzi nyingi hao jmaa zako hawajibu hoja zaidi ya vitisho.
Ndo maana nikasema hao TEC sijui BAKWATA ni vikundi tu wala havina power hiyo mnayodanganyww na hawana chochote wanaweza kufanya .
Ndugu zako hao wa TEC wanaleta vitisho sasa nataka nione watafnya nn ?
Angalia viongozi hao binadamu wanalazimisha kila aliopo chini yao akubali kama sio ujinga ni nn? wao wana exceptions gani za mamlaka mpaka washawishi watu .Hoja yangu ni moja kwanini watu wa walio Chini ya taasisi ya dini wakipinga huo mkataba unakua udini lakini wale wanaounga wanaonekana wako Sawa? Kwann na huo usiwe udini?
Hujajibu hoja yangu lakini we unaanza kudiscuss watu badala ya hojaAngalia viongozi hao binadamu wanalazimisha kila aliopo chini yao akubali kama sio ujinga ni nn? wao wana exceptions gani za mamlaka mpaka washawishi watu .
Mbona wana kesi kibao za kibinadamu kama wengine hujawahi kusikia wamelawiti...Fundisha dini na mengine ndo lengo sio kulazimisha sijui waraka kila mtu afaute kwani ni wote wanaosapot?
Waumini wote wapo huru wanafuata vitabu sio matamko ya mtu.
Leo wakitoa tamko la ndoa za jinsi moja watu watafuata ? Watu wanafuata vitabu sio matamko ya watu binafsi.!
Hoja yako ipo wapi? mbona sioniHujajibu hoja yangu lakini we unaanza kudiscuss watu badala ya hoja
Hii hapa nipe majibu Accumen MoHoja yangu ni moja kwanini watu wa walio Chini ya taasisi ya dini wakipinga huo mkataba unakua udini lakini wale wanaounga wanaonekana wako Sawa? Kwann na huo usiwe udini?
Eeh ! Nimekupata.Hii hapa nipe majibu Accumen Mo
PumbaAsipoelewa hili ninakwenda zangu mapema kunywa ubandani kunywa komoni na Shengena zangu[emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
Kabisa mkuuWakipekee usitumie nguvu kubwa kubishana nao ona tofautiView attachment 2725182
Kwa kweli nami naona sote tunapaswa kuchukizwa sana na vitu vya namna hii au hata vinavyoshabihiana navyo.Nachukizwa sana na yeyote ambaye atataka kutugawa kwa misingi ya kidini
.Werevu wenyewe ni huu hapa....
HAKUNA MTU MWENYE MISULI YA KULIGAWA TAIFA HILI [emoji120]
#SiempreSSH[emoji120]