Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #101
RAI! RAI! RAI!Wewe si wakala wao hapa JF?
Nadhani serikali kwa njia ya wataalamu wa magonjwa ya akili waweke mpango wa kitaifa wa kupima watu magonjwa ya akili. Na watu wote tupimwe. Kuna dalili kwamba kuna wagonjwa wengi wa akili kuliko tunavyodhani na wengine si ajabu wako kwenye nafasi nyeti. Naona tukiongea hatuelewani hata katika mambo madogo ya wazi na ya kawaida. Tena lugha chafu, uongo, na za matusi zimeongezeka hadharani.