Kinachofanywa na Mchungaji Msigwa hakina tofauti na kinachofanywa na CHADEMA, nadhani kuna haja ya kubadilika

Mkuu hawa watu hawawezi kukuelewa ila majibu watayapata 2025, watarudi kusema wameibiwa kura wakati kosa lao ni kutokukubali ukweli kuwa JPM anawafuasi wengi ambao wangepaswa kuwapata.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa hiyo 2025 unasubiri matokea gani kwenye hizo chaguzi za kishenzi? Inshort hakuna anayetishika na uchaguzi ambao tayari unafahamika ni wa matokeo ya kupangwa.
 
Acha utoto hili liko wazi ,tatizo mkikaa kwenye ka ofisi kenu wawili watatu mna hisi mnawakilisha mawazo ya watanzania wote
Angeheshimu uchaguzi ungeweza kuja na kipimo halisi cha kukubalika kwake. Hatukatai alikuwa na watu wanaomkubali sana, sasa angekaa kwa kutulia aheshimu uchaguzi ili apate kura halisi za kukubalika kwake, ila sio kwa uhayawani ule wa 2020.
 
Nakuunga mkono Mia Kwa Mia.
 
Angeheshimu uchaguzi ungeweza kuja na kipimo halisi cha kukubalika kwake. Hatukatai alikuwa na watu wanaomkubali sana, sasa angekaa kwa kutulia aheshimu uchaguzi ili apate kura halisi za kukubalika kwake, ila sio kwa uhayawani ule wa 2020.
Hivi wewe jama uchaguzi wa 2020 walikukosea nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…