mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,668
- 3,428
Sawa sawaUnyeti gani? Hizo zote ni huduma.
Hata hivyo serikali ya Samia umesikia kilio Chenu. Wameanza kuwapa makampuni binafsi yazalishe na kuuza umeme.
Kwa kuanzia wameanza na umeme wa migodini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaUnyeti gani? Hizo zote ni huduma.
Sisi Wananchi tunachotaka ni Umeme NAFUU na wa UHAKIKA.Sawa sawa
Hata hivyo serikali ya Samia umesikia kilio Chenu. Wameanza kuwapa makampuni binafsi yazalishe na kuuza umeme.
Kwa kuanzia wameanza na umeme wa migodini.
Mkuu elewa tu kuwa huu uhaba wa umeme ni mchongo wa wanasiasa. Na ndio maana hadi leo hakuna sababu za msingi tulizopewa kuhusu kukatika kwa umeme. Kila siku inazalishwa porojo mpya.Sisi Wananchi tunachotaka ni Umeme NAFUU na wa UHAKIKA.
Hatutaki POROJO za CCM.
Sema Wanasiasa wa CCM ndio maana sisi Wananchi tunataka CHADEMA.Mkuu elewa tu kuwa huu uhaba wa umeme ni mchongo wa wanasiasa
Ungemsaidia kujibu swali langu!Wewe ni mjinga kwelikweli...!!
Yaani jibu unalo lakini unageuza jibu kuwa swali..!!
Si wataondoa kabisa kero na shida ya umeme kama hii?
Sasa haya ni maswali madogo tu ya nyongeza kwenu nyie CCM mlio na dola. Na kama una akili kweli, hebu tupe majibu sahihi tupime kichwa chako hicho. Sitaki uanze kubweka hapa kama mbwa koko. Nataka majibu toka Kwa mtu mwenye akili!!;
✍️Kwanini mmeshindwa kuondoa shida na changamoto ya ukosefu wa umeme huku kidogo uliopo ukiwa si wa uhakika na ni wa kuwasha eneo hili huku eneo lile ukiwa umezimwa a.k.a mgawo??
✍️Nyie CCM mnafanya nini na "dola" yetu iwapo kwa miaka zaidi ya 64 tangu uhuru mmeshindwa kutatua tatizo hili moja tu ukiacha mengine mengi ya maji, afya, barabara nk nk ??
✍️Hivi kwa akili zako finyu hizo unadhani CCM wanastahili kweli kuwepo hapo kuongoza dola letu??
Ww kuna siku utapigwa ukose wa kukugombelezea 😂😂😂😂Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
kama utani lakini ndiyo ukweli mchunguTatizo ni dili dili juz kati wazir flan hv kaongeza howo 100 kwenye kampun ya mzee wangu unazan hela wanatoa wapi kama sio hukohuko nimtaje nisimtaje mpaka hapa yeye kashanijua ngoja nikatafu madereva mana nimepewa tenda ya kusimamia oya vijana kama unajiona una lesen clas e na una uzoefu wa miaka miwili barabaran njoo pm nikupe chuma za kodi yenu yamaji iwepo kama unaona natania kaa hapo hapo kijiwen endeleen kusema tajir flan mchaw mbona kaongeza tena kumbe kodi zenu, ngoja niende zangu nikakague trailler hapa
Aliondolewa Lowasa kwa kashfa ya Richmond kuwa alikuwa ndo tatizo, kumbe ilikuwa uongo mtupu. Mzee wetu hadi kapata Ugonjwa wa moyo na tumemzika. Hadi anaingia kaburini hatujawahi kutamkiwa alikula ngapi, wengine wa ESCROW tuliambiwa na bado hakuna hatua yeyote hadi leo. Sasa tuambie bwege ni nani?Mabwege kama wewe wamejaa inchi hii ndio mana maendeleo hakuna
NduguHaijulikani sababu hasa ya Shida ya umeme kuwa kubwa kiasi hiki , ila sasa ni dhahiri ni tatizo kubwa sana .
Dar es salaam ni kama raia wamezoea shida hiyo, huko Mbeya, wilaya ya Kyela kimsingi ni kama umeme haupo, tangu ulivyokatika saa 11 alfajiri, hadi muda huu haujarejeshwa.
Ondoa shakaNdugu
Hizi ndizo agenda ambazo thinktanks ndani ya CHADEMA kuja na wayforward mbadala wa huu uhuni unaoendelea.
Kila tatizo la wananchi mje na program chanya za kuyatatua.
Sisi wapigakura tunategemea sana wanasiasa makini nje ya CCM
wajanja wacha tukae karibu na mzinga wa nyuki tukisha ng'atwa nyuki watatudondoshea asalkama utani lakini ndiyo ukweli mchungu
Watanzania watulie umeme unakuja mwezi wa sita????Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
Tulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
Tatizo la umeme lipo nchini tangia 1958 kabla hata wakoloni hawwjaikabidhi nchi kwa Mwl. NyerereTulieni mambo mazuri yanakuja mtafurahi wenyewe watanzania wenzangu. Serikali ipo kazini usiku na mchana kuhakikisha kuwa changamoto hii ya umeme wa mgao inafika kikomo na kuisha kabisa.
Naomba tuendelee kuwa watulivu na wavumilivu maana tulikotoka ni mbali na sasa tupo karibu kufika nchi ya ahadi ,mahali ambapo umeme utapatikana na kuwaka muda wote bila kuzimwa wala kukatwa na mtu yeyote yule. Nawaombeni sanaa tena sanaa tuwe na subira Ndugu zangu Watanzania.
hakuna kitu kama icho,kitu nyeti kwenye nchi ni mawasiliano/data tu....wanasiasa wanatudanganya ili mambo yao yaendeKusema kuwapa makampuni ishu nyeti ya umeme ni sawa na kujiweka uchi kama nchi. Ni kuhatarisha usalama.