Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Halafu waziri wa Fedha ni Mwigulu Mchumi daraja la kwanza.Hii move ya utawala wa Samia inakwenda kuua Microeconomy!
Jamaa hajawahi kufanikisha jambo lolote kwenye wizara yoyote lakini bado wanamteua.so sad kwenye unaibu waziri wa Fedha alishia kutengeneza wafanyakazi hewa tu nchi nzima.