Kinachopelekea wanaookoka au kusilimu na kuwa swala tano kufeli kimaisha

Nimekuelewa hata kabla sijamaliza kusoma
 
Mtu akiokoka anabarikiwa hawezi kufeli maisha.
 
I am regretting to tell you that ur mind is still burried in the darkness of ignorance.

Chakula nilicho kitoa kwenye uzi huu kina watosha walio macho tu wewe bado umelala.

Ur mind is not present here na Wahenga walishasema asie kuwepo na lake alipo.

When ur mind will be ready the teacher will be available to teach u what u need to understand.
 
Kiburi Cha uzima ndo kinawasumbua I promise you utakuja kutubu before ur fateful
 
Kiburi Cha uzima kinawadanganya plus Ujinga wa tamthiliya nothing else
Mkuu mbona akili yako umeamua kuifungia kwenye kabatu?? Can't you reason???

Kiburi cha uzima!!!?? Uzima upo tu to everyone /every living creature NO MATTER WHETHER YOU BELIEVE WHAT OR YOU DONT BELIEVE WHAT!!!

Likewise, KIFO kipo tu kwa yeyote haijalishi unashinda kanisani au unashinda unasali hadi unalia machozi ya damu AU HAUSALI WALA KUAMINI...UTAKUFA TU.
 
Unamchanganya vipi Yesu na mambo ya nguvu za asili?

Tupe hilo andiko linalosema Yesu alifundisha watu kuamini nguvu zao za asili kinyume na maandiko yake, WEKA HAPA.

Wewe ni mpagani mjuaji usiyeelewa chochote, ndio maana huna hata mstari mmoja wa maandiko ya kwenye biblia.

Huoni umepotoka!.

Sikuelewi kabisa, unapotosha watu.
 
Uzi na kichwa havijaoana, ebu fungisha ndoa hapo chap
weweni kiazi kamaviazi wengine hujuilolote ilaujuaji wakindezi ndiounao kusumbua
 
achakuandika pumba weekiazi
 
Naona umeamua kupiga soga tu hapa, Yesu ndie njia ya kweli na Uzima, hili liko kwa wakristu, sasa wewe mpagani haya huwezi kuyajua.
 
MUNGU ANATAKA KUONA MATOKEO YA MATUMIZI SAHIHI YA ALIVYOKUPA. SIO KUMTEGEMEA YEYE SANA AU KUMTEGEMA BINADAMU ALIYEUMBWA NA YEYE.
 
Kanisani au msikitini ni sehemu za kwenda kwa ajili ya kusocialize na watu wako lakini sio kwenda kumuomba Mungu._VERY PERFECT.
 
MUNGU ANATAKA KUONA MATOKEO YA MATUMIZI SAHIHI YA ALIVYOKUPA. SIO KUMTEGEMEA YEYE SANA AU KUMTEGEMA BINADAMU ALIYEUMBWA NA YEYE.
You are the true son of your Father. Wewe ndio umejua naongea kuhusu nini.

denooJ soma alicho kiandika huyu mwamba kwa sababu ndicho nilicho kusudia kukileta hapa jukwaani. Siwezi kuwa na jibu lolote bora kwako kuliko alicho kiandika huyu mwamba.

Be blessed
 
Wewe ni mwalimu mjinga, usiyejua maandiko, unaewafundisha wajinga wenzio ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…