Kinachotokea kwa Diamond Platnumz sasa hivi

Kinachotokea kwa Diamond Platnumz sasa hivi

Uchawi sio lazima uvae mitunguli na mihirizi, ukisikia uchawi ndio huu, ni wivu, wivu na roho mbaya ya kiwango cha juu kabisa. Anachofanya Diamond wewe kinakuhusu nini? Yaani umekaa kabisa, kuwaza na kuwazua hadi kuandika uzi wa kum dis Diamond? Wewe unaweza kufanya alichofanya Diamond? Unaweza kuifikia rekodi ya mambo aliyoyafanya Diamond? Unaweza hata kuandika wimbo mmoja? Wewe umeshatoa album ngapi? Hakuna mwanamuziki mwenye mafanikio aliyewahi kutokea Tanzania zaidi ya Diamond, hakuna!
Yaani wabongo kila mawazo tofati yanatafsiriwa ni wivu
 
Ila watu wa WCB mnapenda kutumia haka ka sentensi "All in All".
 
Jamaa kwakweli yupo kwenye hali mbaya nyimbo anazoimba sahivi ni mbovu laiti kama angekua anaimba msanii ambae ndo anajitafuta kutoka kimziki kwakweli asingetoboa, sahiv watu wanaendelea kumfatilia lakin akiendelea na mwenendo mbovu wa namna hii atapoteza ushawishi na watu wataacha kumfatilia taribu mwsho apotee, hata kina Mr nice enzi zao hakuna alie amini ipo siku hakuna mtu atkua n Muda nae Tena ila wakat umefika sahiv hata hamorapa anaongelewa zaid ya Mr nice
 
Nilikutana mtaani na mzee mmoja, tukaketi chini akanipa soga...'mimi sitamsahau hau hau'

Alisema wangapi walikuwepo namba moja, sasa wamerudi chini ni vihoja....'watu wamewasahau hau hau'
Balozi
 
Back
Top Bottom