Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Jopo la wataalam! ha ha ha! PHD za kisanii ha ha ha! Dr.Dimond, Porofesa Ali Kiba!! ha ha ha

Umesahau akina bulembo, nape, mwingulu, lusinde, Hawa wanapendekezwa kupewa PhD za mitusi ya kukufuru.
 
Mungu tupe ujasiri tupige na kulinda kura zetu. Nimesoma namba 9&10, Ina maana jamaa kelele zote zile hadi sauti inakatika na push up, kung fu sijui nini vingine hajui/hawajui watatekelezaje!. Tunashukuru walau mwaka huu wamekuwa wakweli kuwa ilani haitekelezeki kabla ya Uchaguzi.
 
haya yote amemtakia anayemnadi yaani kaka wa taifa
Wana bodi!
Hali ya CCM ni mbaya sana. Hawakutegemea kabisa kuwa watanzania watawakataa kama inavyotokea sasa. Na katika ku-panic na kuonyesha taharuki wamejikuta wanafanya mambo yanayozidi kuwafumbua wananchi macho na kuiona CCM ni kundi la matapeli:
1; Matusi ndio imekuwa ilani yao ya uchaguzi.
2: Magufuli ameshindwa kujinadi kwa kutumia jina la CCM na badala yake anajinadi kama mgombea binafsi.
3: Na kali ya funga kazi ni hii iliyotokea leo: wamekuja na mpango wa maandalizi ya ilani mpya huku ile ya zamani wakiwa wameitupa. Hebu oneni huu utapeli:



My take: CCM wanazidi kuonyesha utapeli, ulaghai na kuwa ni wale wale wala hawakuwa wamejiandaa. Hivi kweli inaweza kuingia akilini mtu kusema Chama kilichotawala muda wote huu haya mambo kilikuwa hakiyajui na sasa ndio wameshtuka na wanaanza kuchunguza? Si ni kwasababu wameona hali ni mbaya ndio maana wanakuja na mipango mipya huku hata iliyopo kwenye ilani haijatekelezwa?
 
Haya ni mateke ya mwisho ya CCM.Hakika nawaambia CCM imekamatwa pabaya sana.Pumzi imekata katikati ya safari,hakuna wa kuikoa.Wanahaha kuwaleta wale ambao Magufuli anajaribu kuwaponda ili angalau aeleweke.Je wataongea nini kama sio hadithi za abunuasi?
 
Jopo la nini wakati tunaelekea kwy uchaguzi nchi ikiwa gizani?hayo maendeleo ya viwanda na uchumi wa mtu mmoja mmoja yatakujaje?kwa elimu yangu ya ngumbale niliyoipata siwezi kunpa kura yangu mgombea yeyote toka CCM!ngoja wengine nao wapewe nafasi,miaka nenda miaka rudi matatizo yale yale,hadithi zile zile
 
Mambo yote anayo yazungumzia wakati huu yalitakiwa yafanyiwe kazi miaka 10 iliyopita. Hakuna mtanzania atakaye kwenda kurudi nyuma katika safari ya kukiondoa chama hiki dhalimu. Dakika zilizo baki hata CCM wakaamua kwenda kuinunua nchi ya Uingereza yote na kuimiliki hakuna mwana mabadiliko yoyote atakaye kwenda kubadirisha uamuzi wa kuki nyima kura Chama Cha Mapinduzi.
 
Uozo mtupu. Sasa JPM hushindi unaanza kuandaa kazi ambayo ataifanya mwingine
 
Hahaha! Kazi kwelikweli! Isije ikawa shuka inakumbukwa asubuhi! Huko watapokwenda hao wengine wasanii watakuwepo pia!? Huyo Kinana si alishazunguka nchi nzima ina maana hawakumuelewa!?
 
Back
Top Bottom