Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Walitabiri chama kitamfia JK kabla ya uchaguzi 2015 kikavuka. Ccm ni taasisi sio watu Ccm ni zimwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kufanya ufisadi wa kutisha ndio wanajifanya kuvua magamba.

Hao walitakiwa wakamatwe kwa makosa ya ufisadi kitambo sana, sema kwenye chama kuna kulindana kwa hapa na pale
 
Mashoga mmejazana hapo Ufipa mnashughulikiwa na Profesa na Saed!
Jinsi unavyorukia rukia mambo usiyayujua,lazima utakuwa Punga.
Na ntakutafuta nikupumulie kisogoni

Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
 
Wamewatema au wamegoma kwenda kuhojiwa?
 
Huyo lowassa lini kawa captain? Naanza kuondoa credibility yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…