Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
Hasira za mkizi ,bora wametambua ya kwamba muda umewatupa mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wazee hata wakikataa kuhojiwa ni sawa tu.
Lakini wao nao wanawajibika kuwa kimya, kimsingi kwa umri wao inatosha sasa hawa ni kama Joka la kibisa hawana meno .
Nao wanajua ukimya wao ni usalama wao, vijana wao wanakubalika chamani na hawawezi kuwaharibia career wanaokuja.
Kwenda kuhojiwa ni kutolewa kifunguo kimawazo ili sasa nao watoe maoni
Ccm haiwezi kuwaadhibu wazee hawa ila kuweka sawa kuingia kwenye game kwa baraka zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema wameamua kuondoka mapema kwani CCM inahitaji mabadiliko Makubwa Sana.
Uzee na Uzoefu usioenda na Uadilifu Ni hewa tu na hauna maslahi kwa Taifa letu.

Kama Wana Tuhuma zozote za Kijinai Basi nashauri Mamlaka Husika ziingie kazini.
Mwenyewe ukajibeba na familia yako ukidhani utapat teuzi, kafie mbele huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za makonda na babake haziwezi kuona hilo. Wao ni tutawakomesha,......tutawamaliza,....watatutambuwa,......... Bila kuangalia kuwa na wenzao ni binadamu wenye fikra.
 
 

Attachments

  • 2300404_Nimeikuta_from_archives__expressionless___Hebu_tupia_caption_hapa_.._ziwe_fupifupi_plz...jpg
    31.7 KB · Views: 1
Atakuwa kaamua kupumuzika siasa.

Anamakandokando mengi sana huyu mzee.
Atulie tu.
 
L
Lakini kwa wakati huu ambapo Jiwe anakiendesha hiko chama kama vile anavyoiendesha familia yake ya mama Jesca, hakika safari hii ni lazima chama kitamfia mikononi mwake
Chadema na upinzani uko ktk hali mbaya. Sisiemu ya jpm inaimarika. Uthibitisho ni nyie bavicha hamlali mkiiombea mabaya.
 
Ungekuwa na mashine ungekuwa unajinyea bwashee huru?!
Najua hapo unawashwa washwa baada ya kusikia Mwanaume ntakupanda next week
Tuliza Mshono

Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…