Lakini kwa wakati huu ambapo Jiwe anakiendesha hiko chama kama vile anavyoiendesha familia yake ya mama Jesca, hakika safari hii ni lazima chama kitamfia mikononi mwakeWalitabiri chama kitamfia JK kabla ya uchaguzi 2015 kikavuka. Ccm ni taasisi sio watu Ccm ni zimwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anavyokufukua Kube wa ubungo!Utaona tu, lazima nikutifue wewe
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Mara nyingi niwaonapo wazee hawa huwa naikumbuka vita ya Kagera iliyomng'oa dikteta nduli fashisti Iddi Amini Dada pale Uganda.
Wakati huo nilikuwa nafanya kazi pale TRC Mwanza station......hakika niliwashuhudia wapiganaji wetu WAZALENDO wengi wakielekea vitani. Nasi tulitoa kila aina ya msaada uliohitajika ili kuwawezesha wapiganaji hawa.
Ndio maana siku mzee Lowassa alipotangaza kujiuzulu uwaziri mkuu sikushangaa kabisa.
Na hata nikisikia mzee Kinana na mwenzie Makamba wamestaafu siasa na kurudisha kadi za chama cha siasa kwa wamiliki wa kadi sitashangaa.
Kuchukua maamuzi magumu ni sehemu ya maisha ya mjeda popote pale duniani.
Nawatakia Dominika yenye Baraka!
Amina mkuu!Nimeipenda hii. Waksti wa vita va kagera ulikuwa unafanyakazi TRC mza.
Hivyo kama 1979 ulikuwa na miaka 20, Leo una 61. Hongera yohana mbatizaji
Umemtaja sana huyo JamaaKama anavyokufukua Kube wa ubungo!
Sema JIWE na serikali yake waliamua kumkomoa kwa kugusa masilai yake moja kwa moja.Lowasa ni bembea, inaenda kulee, inarudii, inakwendaa inarudii. Watu wameipanda sana bembea Lowasa na hakika imefaidisha sana watu.
Mwenyewe ukajibeba na familia yako ukidhani utapat teuzi, kafie mbele huko.Ni vema wameamua kuondoka mapema kwani CCM inahitaji mabadiliko Makubwa Sana.
Uzee na Uzoefu usioenda na Uadilifu Ni hewa tu na hauna maslahi kwa Taifa letu.
Kama Wana Tuhuma zozote za Kijinai Basi nashauri Mamlaka Husika ziingie kazini.
Ulidhani ni siri bwashee ......mbona wote hapo Ufipa wanakujua unavyomnyea!Umemtaja sana huyo Jamaa
Ni dhahiri kuwa ameshapakua
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Uzi usha korogekaUtajua ntakapokuwa nakupanda Wewe Bwabwa
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Haya utayasema siku nikiwa nakuchapa nao we ShogaUlidhani ni siri bwashee ......mbona wote hapo Ufipa wanakujua unavyomnyea!
Akili za makonda na babake haziwezi kuona hilo. Wao ni tutawakomesha,......tutawamaliza,....watatutambuwa,......... Bila kuangalia kuwa na wenzao ni binadamu wenye fikra.Sijawahi kuona mwanajeshi anaekubali kuburuzwa na asiye mwanajeshi aliyemzidi cheo.
Nionavyo, namna pekee ya kuwahoji hao wazee ni kuwaomba miadi (appointment) na kuwafata majumbani kwao, kwa heshima zote wanazostahiki kwa umri wao na nyadhifa zao walizostaafu, na kufanya nao mahojiano ya kistaarabu.
Huwezi kuwaweka kitimoto hao wakakubali. Hawana cha kupoteza.
Komredi Kinana kaona utoto kwenda, hata wakimpa adhabu ya kumfuta uanachama bado ni alama tosha ya CCM hata asipokuwa na kadi! Sio watu Kama Bashite,Kitila, Waitara, Bashiru, Pole pole ambao hata hadhi ya ushabiki wa chama hawana hata wakiwa na kadi!
Kwa Membe it's ok kwenda bado ana future ndani ya Chama. Nahisi soon Komredi Mangula ataomba kujiuzulu kupisha siasa za 'kihuni' ndani ya Chama.
Unamnyea kube uharo wa mbege mbege!Haya utayasema siku nikiwa nakuchapa nao we Shoga
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Mimi sio kada wa sisiemu wala chama chochote. Nimetokea kumkubali jpm. Ukirudi nyuma kabisa utakuta comments zangu nyingi tu za kuisapoti chadem ile ya zamani sio hii ya hovyo hovyo.Na wewe Mkuu kada wa Lumumba barafuyamoto hujambo?
Wewe utasema yote hayo nikiwa nakupiga machineUnamnyea kube uharo wa mbege mbege!
Chadema na upinzani uko ktk hali mbaya. Sisiemu ya jpm inaimarika. Uthibitisho ni nyie bavicha hamlali mkiiombea mabaya.L
Lakini kwa wakati huu ambapo Jiwe anakiendesha hiko chama kama vile anavyoiendesha familia yake ya mama Jesca, hakika safari hii ni lazima chama kitamfia mikononi mwake
Ungekuwa na mashine ungekuwa unajinyea bwashee huru?!Wewe utasema yote hayo nikiwa nakupiga machine
Na nakupa two weeks tu
Sent from my Nokia 6.1 using Tapatalk
Najua hapo unawashwa washwa baada ya kusikia Mwanaume ntakupanda next weekUngekuwa na mashine ungekuwa unajinyea bwashee huru?!