Tetesi: Kinana agoma kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM

Status
Not open for further replies.
 
Hakuna mtu anayeweza kustaafu siasa kwa kurudisha kadi ya chama, bali mtu anarudisha kadi ya chama kama ishara ya kujitoa kwenye chama husika.

By the way hiyo story ya Iddi Amin hata haiendani na mada husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm ni chama cha kigaidi ndo maana viongozi na wanachama wanahubiri kuua watz huku wakiiharibu nchi vibaya kiuchumu na ushirikiano kimataifa huku wakiifanya chato nchi kamili
 
Mmmi nadhani Ccm wali chemka mahali, alie takiwa kuitwa kuhojiwa alikuwa ni Musiba na sio hao walio itwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Musiba aliitwa lini? Bravo to Comrade Kanali Kinana.
 
Amenituma nikamuwakilishe,nitatokea kikaangoni si muda mrefu
 
Kiongozi tuliyenaye Jiwe ambaye anapenda kuabudiwa kwa kuombwa msamaha hata na watu ambao hawajamkosea hana tofauti na akina Adolf Hitler na Benito Mussolini.

Hawa akina Abrahman Kinana na Yusuf Makamba walipaswa wawe washauri wake na siyo kushauriwa na Pole Pole na Bashiru Ally au Makonda. Hata waliyoyaongea kwenye simu alizowarekodi kijinai bado ni ushauri mzuri wa kukijenga chama, Mwenyekiti wa CCM kama angekuwa na akili nzuri angechukulia mawazo ya wale wazee positively kuliko kuwadhalilisha kwa kuyaanika na kutaka wamuombe msamaha.

Hili likiendelea usijeshangaa siku nyingine ikatokea akamdhalilisha JK na Mkapa.

Huyu Jiwe ni Dikteta tu sawa na Hitler na Mussolini:
 
sijakuelewa mkuu
Kama nimeelewa sawasawa, ni kwamba:

Mwenyekiti amewafokea Polepole, Bashiru na wajumbe wa kamati, lakini zaidi amefokewa Polepole kwa kuhidlsiwa kuwa ndiye aliyevujisha siri.

Kinana na Makamba wameandika barua za kujiondoa kwenye chama kwa maana ya kustaafu siasa. Kamati baada ya kupilokea barua zao ikawaomba kuwa wasiliseme jambo hilo kwa umma, nao wakawaambia kuwa, na wao (wajumbe wa kamati) wasiseme juu ya jambo hilo.

Cha kushangaza baada ya muda mfupi, jambo tayari limetoka na watu wanajua. Mwenyekiti amechukia, na kuwafokea sana Polepole na Bashiru, kiasi cha bwana Bashiru kuondoka ofisini na kwenda kupumzika.

Hivi ndivyo nilivyoelewa.
 
Maji yameshakorogeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani kuwaweka nini sentensi ya mwisho naomba usisitiza mpendwa katika Imman
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…