Samahani, Raisi amekasirishwa na waliovujisha habari za hao waliojitoa kwenye chama, inasemekana barua zao za kuachia uwanachama zimevujishwa na watu wa karibu na bashiru.Ni nini hiki umeandika Mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, Raisi amekasirishwa na waliovujisha habari za hao waliojitoa kwenye chama, inasemekana barua zao za kuachia uwanachama zimevujishwa na watu wa karibu na bashiru.Ni nini hiki umeandika Mkuu?
Alitakiwa saa Nne Asubuhi, yeye hakuwataarifu haendi, bali aliamua wakae wakimngojea nae akiwa Dar.Nani aliyekuambia walimsubiri?!
Hata leo nimemuona Kinana pale Shabiby p/s ndio maana nashangaa!......labda kama alikuwa bashe!Alitakiwa saa Nne Asubuhi, yeye hakuwataarifu haendi, bali aliamua wakae wakimngojea nae akiwa Dar.
Hiyo ni kweli ma limetokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujitoa CCM siyo rahisi kama unavyofikiria bwashee!Samahani, Raisi amekasirishwa na waliovujisha habari za hao waliojitoa kwenye chama, inasemekana barua zao za kuachia uwanachama zimevujishwa na watu wa karibu na bashiru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu, Kinana hakuyasema hayo hadharani, yeye ndiye aliyedukuliwa na ikawekwa hadharani. Kwanza haki yake imedhulumiwa, na raisi alipisema kuna wataalamu walimuambia sauti zile ni zao, hapo alitudhihirishia kuwa serekali ndiyi ikiyomdukua.Kwa hakika kabisa kwenye zile sauti Membe hajatenda kosa lolote la jinai wala la kinidhamu.
Labda harakati zake zingine au kama kuna sauti zingine hatukuwekewa hadharani.
Sasa huyu mzee Kinana kajua ana makosa tena makubwa tu ya kisheria, hawezi kujileta mtegoni kama mjinga.
Huwezi kusema raisi wa nchi kachanganyikiwa wakati wewe sio daktari wake, hata kama wewe ni daktari hupaswi kusema hadharani taarifa za mgonjwa bila utaratibu rasmi, sasa hiyo ni kwa mtu yeyote yule jiulize kwa mkuu wa nchi inakuwaje?
Kinana akijileta kaisha, atachukuliwa hatua za kisheria.
Nawaza kitoto zaidi wakubwa mnisaidie kutafakari.
Kinana na Makamba wote ni wajedaBora kuwa namsimamo wakile unachokiamini kuliko kuyumbishwa mjeda
Ndiyo maana Mkuu vipik2 tunamtaka Katibu Mwenezi wa CCM ajitokeze hadharani na kutueleza watanzania ni sababu zipi zilizofanya makatibu hao wakuu wastaafu wadharau kikao hicho muhimu cha maadili cha Chama chao na kukidharau na kutoweza kuhudhuria?Polepole na akili yake atakuja kujibu tena bila tahadhari atatumia magazeti yake yote
Lakini inakera sana......Wameishaandika barua za kujivua uanachama CCM. Kwahiyo sio wana CCM na hawalazimiki kuhojiwa! Waliwahi kuwa Makatibu wakuu wa CCM na wanajua hadhabu ya kosa walilotenda ni nini. Hivyo wameamua kusepa wenyewe fasta! Hahhahaha
Walimkashifuje, hebu tueleze wewe unayejua kwa kinaWewe ulitakaje? Lakini si ni kweli walimkashifu Rais?
Jana tarehe 8/2/2020 ndiyo ilikuwa siku tuliyotangaziwa kuwa makatibu wakuu wastaafu wa CCM, Abdrahman Kinana na Yusuph Makamba, watafika mbele ya Kamati ya maadili ya CCM, kuwahoji kwa vitendo vyao vinavyodaiwa kuwa ni kukiuka maadili ya Chama chao cha CCM
Umma wa watanzania walikuwa wametega masikio yao kwa hamu kubwa huko Dodoma kwenye jengo linalofahamika kama "white house" kilikotarajiwa kufanyika kikao hicho ili kujua mbivu na mbichi
Hata hivyo habari zilizotufikia ni kuwa makatibu hao wakuu wastaafu wa CCM "wamegoma" kufika katika kikao hicho ili kuhojiwa.
Tetesi zipo nyingi zinazosemwa, kuhusu sababu za makatibu hao wakuu wastaafu kutohudhuria kikao hicho, miongoni mwake likiwa hili la kujivua uanachama wa CCM
Ndipo hapo tunapomtaka Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole ajitokeze hadharani na kutujulisha ni nini kimejitokeza hadi kusababisha makatibu hao wakuu wastaafu "kugoma" kuitikia mwito wa Chama chao ili wahojiwe?
Nadhani Katibu mwenszi wa CCM, Humphrey Polepole, atajitokeza hadharani na kulitolea ufafanuzi suala hili nyeti na lenye maslahi mapana kwa Taifa ili kupoza kiu ya mamilioni ya watanzania