DAB.....kumekuchaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Paul MakondaHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni[emoji120]
Kwakweli kumekucha.🔥DAB.....kumekucha
Hajamtaja lakini.Paul Makonda
Hii nchi...Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Kinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!Naona kaamua kujisema
Mbowe na LissuHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni[emoji120]
Ni majangili tupuYeye na Makmba wana tabia nzuri?
Naona kaamua kujisema
Yeye ni makamu mwenyekiti!Kinana ana TABIA mbaya? Angekuwa na TABIA mbaya asingekemea wenye vyeo vikubwa TABIA mbovu!!
Mbowe na Lisu hawaongozi chama Chao na Serikali,Mbowe na Lissu
Yeye na dili zake za kuua Tembo na kutorosha Madini ndiyo tabia nzuri!Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni[emoji120]
Hapo sasa, Labda Lucas Mwashambwa atueleweshe.Yeye ni makamu mwenyekiti!
Anakaa na wenye tabia mbaya?
Spot on Mkuu kapigwa dongo yule Muuaji.DAB.....kumekucha
Labda anapakaziwa.Yeye na dili zake za kuua Tembo na kutorosha Madini ndiyo tabia nzuri!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda anapakaziwa.