UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Yeye ni mmoja wao 💯%. Au anadhani tumesahau tembo wetu?Naona kaamua kujisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ni mmoja wao 💯%. Au anadhani tumesahau tembo wetu?Naona kaamua kujisema
Alikuwa msibani, asingeweza kuwataja, sababu Yeye amefundwa, ana siha njema.Kwanini asiwataje na huku ni Mwenyekiti wao?
Sasa hayo mafumbo yanasaidia nini?Alikuwa msibani, asingeweza kuwataja, sababu Yeye amefundwa, ana siha njema.
Me navyojua, wenye TABIA mbaya lazima watamjibu!!Sasa hayo mafumbo yanasaidia nini?
Chuganian hakunaga UNAFIKI..Nyeupe Nyeupe tuHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Alipakaziwa.Yeye ni mmoja wao 💯%. Au anadhani tumesahau tembo wetu?
Kwa kutumia maneno hayo tu huwezi kufanya conclusion yoyote kwa sababu ni kitu ambacho ni fact na kipo kila mahali. Ni kama amesema mvua isiponyesha kunakuwa na ukame. Tungeweza kufumbua hilo fumbo iwapo tungesikia hotuba yake yote.Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Kalagabao!Alipakaziwa
Ye anatabia nzuri?Me navyojua, wenye TABIA mbaya lazima watamjibu!!
Hayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏
Ingia U-Tube isikize Kisha utuletee hapa.Kwa kutumia maneno hayo tu huwezi kufanya conclusion yoyote kwa sababu ni kitu ambacho ni fact na kipo kila mahali. Ni kama amesema mvua isiponyesha kunakuwa na ukame. Tungeweza kufumbua hilo fumbo iwapo tungesikia hotuba yake yote.
TABIA mbaya hizo.Waziri anapobishana na mwananchi wake mtandaoni. Yako wapi maadili ya viongozi?
Hii nchi yetu ni tamu sana. Ukiwa na stress umependa mwenyewe. Hapa nimekuletea tweet ya Waziri akibishana na mwananchi wake huko mtandaoni. Yako wapi maadili ya viongozi?www.jamiiforums.com
Limepiga butu buwili buko Kelemiee ....bumenuna kusikia hii mambo kutoka NgaramtoniJiwe gizan
Angewataja basi ili na sisi tuongeze list yetuHayo Ameyasema Mzee Kinana akiwa msibani Arusha.
Je, watu hao ndani ya chama na Serikali yake wenye vyeo vikubwa lakini TABIA mbovu ni akiba nani?
Karibuni🙏